Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduz,i Mhe.Dkt.Hussein Ali Mwinyi akiwa na mkewe, Mama Mariam Mwinyi, wakimsikiliza Karani wa Sensa ya Watu na Makazi, Bi.Asia Hassan Mussa wakati wa zoezi la kuhesabiwa lililofanyika katika makazi yake Migombani Ikulu Ndogo leo Agosti 23,2022, zoezi hilo la Sensa ya Watu na Makazi limeanza leo kwa pande zote mbili za Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.(Picha na Ikulu).
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduz,i Mhe.Dkt.Hussein Ali Mwinyi akiwa na mkewe, Mama Mariam Mwinyi, wakimsikiliza Karani wa Sensa ya Watu na Makazi, Bi.Asia Hassan Mussa wakati wa zoezi la kuhesabiwa lililofanyika katika makazi yake Migombani Ikulu Ndogo leo Agosti 23,2022, zoezi hilo la Sensa ya Watu na Makazi limeanza leo kwa pande zote mbili za Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.(Picha na Ikulu).
0 Comments