Spika Dkt.Tulia ahesabiwa jijini Dodoma





Spika wa Bunge, Mhe. Dkt. Tulia Ackson, leo Agosti 23, 2022 ameshiriki zoezi la Sensa ya Watu na Makazi ambapo amehesabiwa katika makazi yake yaliyopo Mtaa wa Sisimba, Uzunguni jijini Mbeya na kuzungumza na waandishi wa habari mara baada ya tukio hilo.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news