Waziri Bashungwa ateta na Askofu Bagonza

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OR-TAMISEMI), Mhe. Innocent Bashungwa akibadilishana mawazo na Askofu Dkt.Benson Bagonza wa Kanisa la KKKT- Karagwe wakati alipomtembelea ofisini kwake Lukajange katika Halmashauri ya Wilaya ya Karagwe mkoani Kagera leo Agosti 24,2022.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news