Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OR-TAMISEMI), Mhe. Innocent Bashungwa akibadilishana mawazo na Askofu Dkt.Benson Bagonza wa Kanisa la KKKT- Karagwe wakati alipomtembelea ofisini kwake Lukajange katika Halmashauri ya Wilaya ya Karagwe mkoani Kagera leo Agosti 24,2022.Waziri Bashungwa ateta na Askofu Bagonza
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OR-TAMISEMI), Mhe. Innocent Bashungwa akibadilishana mawazo na Askofu Dkt.Benson Bagonza wa Kanisa la KKKT- Karagwe wakati alipomtembelea ofisini kwake Lukajange katika Halmashauri ya Wilaya ya Karagwe mkoani Kagera leo Agosti 24,2022.