Waziri Mkuu akutana na viongozi wa kampuni za Kijapani zilizowekeza Tanzania

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akisalimiana na Makamu Mwenyekiti wa Bodi ya Mitsubishi Yasuteru Hirai, katika Mkutano wa wakuu wa nchi na Serikali wa TICAD uliofanyika jijini Tunis, Tunisia, 28 Agosti 2022. Katika mazungumzo yao, Mheshimiwa Majaliwa ameiomba Kampuni hiyo kujenga kiwanda cha kuunganisha magari Tanzania. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, akisalimiana na Mwenyekiti wa Bodi ya Japan Tobacco Inc ya Nchini Japan Bw. Mutsuo Iwai ambao ni wamiliki washirika wa Kampuni ya Sigara Tanzania (TCC) katika Mkutano wa wakuu wa nchi na Serikali wa TICAD uliofanyika jijini Tunis, Tunisia.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news