🔴LIVE:Hizi hapa fursa kabambe za kiuchumi kutoka Iringa, Rukwa, Mbeya na Katavi

WATCH Tanzania inakukaribisha katika mkutano huu maalum unaofanyika leo Septemba 10, 2022 kwa njia ya Mtandao wa ZOOM kuanzia muda huu na kuendelea.
MADA:Mjadala wa kitaifa juu ya maendeleo na fursa za kiuchumi zinazopatikana mikoa ya Nyanda za Juu kusini-Iringa, Rukwa, Mbeya na Katavi

Pia unaweza kushiriki katika mkutano huu moja kwa moja kwa kujiunga kupitia kiunganishi kifuatacho;
ID: 847 6681 4770
Passcode: 331100

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news