Maagizo ya Serikali kuhusu waajiriwa wapya 553 TAKUKURU


NAIBU Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Deogratius Ndejembi amemuelekeza Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU kuweka kipengele kwenye mkataba wa waajiriwa wapya 553 wa TAKURURU chenye sharti la kutumikia miaka mitano katika taasisi hiyo kabla ya kufikiria kuhamia taasisi nyingine ili kutimiza lengo la Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan la kutokomeza vitendo vya rushwa nchini.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news