Orodha ya majina ya wanachama wa CCM walioteuliwa kugombea nafasi za uenyekiti wa CCM Wilaya nchini kote

NA DIRAMAKINI

HALMASHAURI Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa (NEC) imekutana chini ya Mwenyekiti wa CCM Taifa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan katika Ukumbi wa White House Makao Makuu jijini Dodoma tarehe 27 Septemba, 2022.

Hayo ni kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Itikadi na Uenezi,Shaka Hamdu Shaka.

Ameeleza kuwa, pamoja na mambo mengine Halmashauri Kuu ya CCM Taifa imefanya uteuzi wa majina ya wagombea wa nafasi ya uenyekiti wa CCM Wilaya kwa mujibu wa Katiba ya CCM ya mwaka 1977 toleo la mwaka 2022 Ibara ya 82 (1) ambapo mikutano mikuu ya wilaya itafanyika kote nchini kuanzia Oktoba Mosi hadi 2, 2022.

Kwa mujibu wa tarifa hiyo, Halmashauri Kuu ya CCM Taifa (NEC imeongeza muda wa kuchukua na kurejesha fomu kwa nafasi zote za Halmashauri Kuu Taifa ambapo zoezi hilo la kuchukua na kurejesha fomu litaanza Oktoba Mosi hadi Oktoba 5, 2022 kwenye ofisi za mkoa, Afisi Kuu ya CCM Kisiwandui Zanzibar, Ofisi Ndogo ya Makamo Makuu jijini Dar es Salaam na Makamo Makuu ya CCM Dodoma.Yafuatayoi ni majina;




Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news