Rais Dkt.Mwinyi ateta na ujumbe kutoka Afro-Asian Union (AFASU)

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe.Dkt.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Ujumbe wa Taasisi ya Afro-Asian Union (AFASU) kutoka nchini Misri ukiongozwa na Rais wa taasisi hiyo, Dkt.Hossam Darwish, walipofika Ikulu jijini Zanzibar. Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe.Dkt.Hussein Ali Mwinyi akiagana na Rais wa Taasisi ya Afro-Asian Union (AFASU) kutoka nchini Misri, Dkt.Hossam Darwish baada ya kumaliza mazungumzo na ujumbe huo yaliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu jijini Zanzibar leo Septemba 24, 2022.(Picha na Ikulu).

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news