Viwango elekezi vya kubadilisha fedha za kigeni leo Septemba 21,2022

NA GODFREY NNKO

LEO Dola ya Marekani (USD) inanunuliwa kwa shilingi 2295.39 na kuuzwa kwa shilingi 2318.35 huku Dinar ya Kuwait (KWD) ikinunuliwa kwa shilingi 7428.71 na kuuzwa kwa shilingi 7500.57.
Picha na Reuters.

Hayo ni kwa mujibu wa taarifa ya viwango elekezi vya kubadilisha fedha za kigeni iliyotolewa leo Septemba 21, 2022 na Benki Kuu ya Tanzania (BoT).

Rupia ya India (INR) inanunuliwa kwa shilingi 28.78 na kuuzwa kwa shilingi 29.06 huku Shilingi ya Kenya (KES) inanunuliwa kwa shilingi 19.06 na kuuzwa kwa shilingi 19.21.

Yen ya Japan (JPY) inanunuliwa kwa shilingi 15.98 na kuuzwa kwa shilingi 16.13 huku Yuan ya China (CNY) ikinunuliwa kwa shilingi 327.23 na kuuzwa kwa shilingi 330.46.

Krona ya Sweden (SEK) inanunuliwa kwa shilingi 210.89 na kuuzwa kwa shilingi 212.94 huku Randi ya Afrika Kusini (ZAR) ikinunuliwa kwa shilingi 129.16 na kuuzwa kwa shilingi 130.40.

Kwacha ya Malawi (MWK) inanunuliwa kwa shilingi 2.08 na kuuzwa kwa shilingi 2.25 huku Rupia ya Pakistan (PKR) ikinunuliwa kwa shilingi 9.17 na kuuzwa kwa shilingi 9.72.

Paundi ya Uingereza (GBP) inanunuliwa kwa shilingi 2620.88 na kuuzwa kwa shilingi 2648.02 huku Franka ya Rwanda (RWF) inanunuliwa kwa shilingi 2.16 na kuuzwa kwa shilingi 2.19.

Dirham ya Umoja wa Falme za Kiarabu (AED) inanunuliwa kwa shilingi 624.99 na kuuzwa kwa shilingi 631.10 huku Schilling ya Australia (ATS) ikinunuliwa kwa shilingi 147.29 na kuuzwa kwa shilingi 148.60.

Dola ya Zimbabwe (ZWD) inanunuliwa kwa shilingi 0.43 na kuuzwa kwa shilingi 0.44 huku Euro ya Ulaya (EUR) inanunuliwa kwa shilingi 2287.82 na kuuzwa kwa shilingi 2310.91.

Shilingi ya Uganda (UGX) inanunuliwa kwa shilingi 0.58 na kuuzwa kwa shilingi 0.61 huku Franka ya Burundi (BIF) ikinunuliwa kwa shilingi 2.19 na kuuzwa kwa shilingi 2.21.

Foreign Exchange Rates in United Republic of Tanzania today September 21st, 2022 according to Central Bank (BoT);
S/NO Currency Buying Selling Mean Transaction Date
1 AED 624.9887 631.1011 628.0449 21-Sep-22
2 ATS 147.2956 148.6007 147.9482 21-Sep-22
3 AUD 1537.2267 1553.0627 1545.1447 21-Sep-22
4 BEF 50.244 50.6887 50.4663 21-Sep-22
5 BIF 2.1977 2.2143 2.206 21-Sep-22
6 BWP 173.7615 176.8901 175.3258 21-Sep-22
7 CAD 1723.5291 1740.2417 1731.8854 21-Sep-22
8 CHF 2373.7291 2396.4751 2385.1021 21-Sep-22
9 CNY 327.2359 330.4611 328.8485 21-Sep-22
10 CUC 38.3225 43.5616 40.9421 21-Sep-22
11 DEM 919.7404 1045.4791 982.6098 21-Sep-22
12 DKK 307.665 310.7208 309.1929 21-Sep-22
13 DZD 16.3197 16.3533 16.3365 21-Sep-22
14 ESP 12.1817 12.2892 12.2354 21-Sep-22
15 EUR 2287.8212 2310.9313 2299.3763 21-Sep-22
16 FIM 340.8869 343.9076 342.3973 21-Sep-22
17 FRF 308.9903 311.7235 310.3569 21-Sep-22
18 GBP 2620.8832 2648.0194 2634.4513 21-Sep-22
19 HKD 292.4369 295.3538 293.8954 21-Sep-22
20 INR 28.782 29.0644 28.9232 21-Sep-22
21 ITL 1.0468 1.056 1.0514 21-Sep-22
22 JPY 15.9769 16.1355 16.0562 21-Sep-22
23 KES 19.0568 19.2155 19.1362 21-Sep-22
24 KRW 1.6466 1.6621 1.6543 21-Sep-22
25 KWD 7428.7066 7500.5662 7464.6364 21-Sep-22
26 MWK 2.078 2.2481 2.163 21-Sep-22
27 MYR 503.8183 508.4101 506.1142 21-Sep-22
28 MZM 35.3682 35.6669 35.5176 21-Sep-22
29 NAD 96.9773 97.8626 97.42 21-Sep-22
30 NLG 919.7404 927.8967 923.8186 21-Sep-22
31 NOK 222.7848 224.9471 223.8659 21-Sep-22
32 NZD 1353.8246 1367.5947 1360.7096 21-Sep-22
33 PKR 9.17 9.7205 9.4453 21-Sep-22
34 QAR 720.0229 718.1654 719.0941 21-Sep-22
35 RWF 2.1655 2.1979 2.1817 21-Sep-22
36 SAR 610.3154 616.2547 613.285 21-Sep-22
37 SDR 2970.5179 3000.2231 2985.3705 21-Sep-22
38 SEK 210.8867 212.9369 211.9118 21-Sep-22
39 SGD 1627.7096 1643.404 1635.5568 21-Sep-22
40 TRY 125.3739 126.5889 125.9814 21-Sep-22
41 UGX 0.5776 0.6061 0.5919 21-Sep-22
42 USD 2295.396 2318.35 2306.873 21-Sep-22
43 GOLD 3827595.85 3867054.167 3847325.0085 21-Sep-22
44 ZAR 129.1624 130.4019 129.7821 21-Sep-22
45 ZMK 145.0464 145.6708 145.3586 21-Sep-22
46 ZWD 0.4295 0.4382 0.4339 21-Sep-22

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news