Viwango elekezi vya kubadilisha fedha za kigeni leo Septemba 22,2022

NA GODFREY NNKO

LEO Paundi ya Uingereza (GBP) inanunuliwa kwa shilingi 2602.84 na kuuzwa kwa shilingi 2630.49 huku Franka ya Rwanda (RWF) inanunuliwa kwa shilingi 2.16 na kuuzwa kwa shilingi 2.19.
Hayo ni kwa mujibu wa taarifa ya viwango elekezi vya kubadilisha fedha za kigeni iliyotolewa leo Septemba 22, 2022 na Benki Kuu ya Tanzania (BoT).

Dola ya Marekani (USD) inanunuliwa kwa shilingi 2295.47 na kuuzwa kwa shilingi 2318.43 huku Dinar ya Kuwait (KWD) ikinunuliwa kwa shilingi 7423.92 na kuuzwa kwa shilingi 7495.73.

Rupia ya India (INR) inanunuliwa kwa shilingi 28.72 na kuuzwa kwa shilingi 29.01 huku Shilingi ya Kenya (KES) inanunuliwa kwa shilingi 19.08 na kuuzwa kwa shilingi 19.24.

Dirham ya Umoja wa Falme za Kiarabu (AED) inanunuliwa kwa shilingi 624.97 na kuuzwa kwa shilingi 631.19 huku Schilling ya Australia (ATS) ikinunuliwa kwa shilingi 147.30 na kuuzwa kwa shilingi 148.60.

Dola ya Zimbabwe (ZWD) inanunuliwa kwa shilingi 0.43 na kuuzwa kwa shilingi 0.44 huku Euro ya Ulaya (EUR) inanunuliwa kwa shilingi 2275.50 na kuuzwa kwa shilingi 2298.49.

Shilingi ya Uganda (UGX) inanunuliwa kwa shilingi 0.58 na kuuzwa kwa shilingi 0.61 huku Franka ya Burundi (BIF) ikinunuliwa kwa shilingi 2.19 na kuuzwa kwa shilingi 2.21.

Yen ya Japan (JPY) inanunuliwa kwa shilingi 15.94 na kuuzwa kwa shilingi 16.09 huku Yuan ya China (CNY) ikinunuliwa kwa shilingi 325.69 na kuuzwa kwa shilingi 328.86.

Krona ya Sweden (SEK) inanunuliwa kwa shilingi 208.40 na kuuzwa kwa shilingi 210.44 huku Randi ya Afrika Kusini (ZAR) ikinunuliwa kwa shilingi 130.07 na kuuzwa kwa shilingi 131.33.

Kwacha ya Malawi (MWK) inanunuliwa kwa shilingi 2.09 na kuuzwa kwa shilingi 2.26 huku Rupia ya Pakistan (PKR) ikinunuliwa kwa shilingi 9.12 na kuuzwa kwa shilingi 9.65.

Foreign Exchange Rates in United Republic of Tanzania today September 22nd, 2022 according to Central Bank (BoT);

S/NO Currency Buying Selling Mean Transaction Date
1 AED 624.9762 631.1916 628.0839 22-Sep-22
2 ATS 147.3007 148.6059 147.9533 22-Sep-22
3 AUD 1532.2297 1548.0157 1540.1227 22-Sep-22
4 BEF 50.2457 50.6905 50.4681 22-Sep-22
5 BIF 2.1978 2.2144 2.2061 22-Sep-22
6 BWP 174.4561 176.6644 175.5602 22-Sep-22
7 CAD 1715.6018 1732.24 1723.9209 22-Sep-22
8 CHF 2380.2108 2403.7636 2391.9872 22-Sep-22
9 CNY 325.6963 328.86 327.2782 22-Sep-22
10 CUC 38.3238 43.5631 40.9435 22-Sep-22
11 DEM 919.7721 1045.5152 982.6437 22-Sep-22
12 DKK 306.0511 309.0292 307.5402 22-Sep-22
13 DZD 16.2377 16.2714 16.2545 22-Sep-22
14 ESP 12.1821 12.2896 12.2358 22-Sep-22
15 EUR 2275.5046 2298.4915 2286.9981 22-Sep-22
16 FIM 340.8987 343.9195 342.4091 22-Sep-22
17 FRF 309.0009 311.7343 310.3676 22-Sep-22
18 GBP 2602.8394 2630.4907 2616.665 22-Sep-22
19 HKD 292.4247 295.3452 293.8849 22-Sep-22
20 INR 28.7247 29.0065 28.8656 22-Sep-22
21 ITL 1.0468 1.0561 1.0514 22-Sep-22
22 JPY 15.9397 16.098 16.0188 22-Sep-22
23 KES 19.0813 19.2401 19.1607 22-Sep-22
24 KRW 1.6479 1.6625 1.6552 22-Sep-22
25 KWD 7423.9174 7495.7323 7459.8248 22-Sep-22
26 MWK 2.0866 2.2573 2.1719 22-Sep-22
27 MYR 504.5001 508.9857 506.7429 22-Sep-22
28 MZM 35.3694 35.6682 35.5188 22-Sep-22
29 NAD 97.2343 98.1383 97.6863 22-Sep-22
30 NLG 919.7721 927.9288 923.8504 22-Sep-22
31 NOK 221.7636 223.8926 222.8281 22-Sep-22
32 NZD 1350.6576 1365.0916 1357.8746 22-Sep-22
33 PKR 9.1235 9.6509 9.3872 22-Sep-22
34 QAR 715.0658 714.5548 714.8103 22-Sep-22
35 RWF 2.1655 2.1972 2.1814 22-Sep-22
36 SAR 610.2553 616.0303 613.1428 22-Sep-22
37 SDR 2972.7093 3002.4364 2987.5729 22-Sep-22
38 SEK 208.4011 210.4373 209.4192 22-Sep-22
39 SGD 1624.3103 1639.5092 1631.9097 22-Sep-22
40 TRY 125.279 126.4939 125.8864 22-Sep-22
41 UGX 0.5784 0.606 0.5922 22-Sep-22
42 USD 2295.4752 2318.43 2306.9526 22-Sep-22
43 GOLD 3843439.3103 3883906.5029 3863672.9066 22-Sep-22
44 ZAR 130.0737 131.326 130.6999 22-Sep-22
45 ZMK 145.209 147.6707 146.4398 22-Sep-22
46 ZWD 0.4296 0.4382 0.4339 22-Sep-22

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news