Wavutiwa na huduma za BoT kwenye Maonesho ya Tano ya Biashara ya Madini Kitaifa mkoani Geita


Mkuu wa wilaya ya Nyang'hwale mkoani Geita, Mhe. Jamhuri David William (kulia) akipewa maelezo na Afisa kutoka Kurugenzi ya Usimamizi wa Mifumo ya Malipo ya Taifa, Bw. Edgar Mwakasitu, kuhusu namna Benki Kuu ya Tanzania inasimamia mifumo ya malipo ya taifa nchini alipotembelea banda la Benki Kuu ya Tanzania (BoT) kwenye Maonesho ya Tano ya Biashara ya Madini yanayofanyika kitaifa mkoani Geita.
Mkuu wa wilaya ya Nyang'hwale mkoani Geita, Mhe. Jamhuri David William, akielezea jambo alipotembelea banda la Benki Kuu ya Tanzania (BoT) kwenye Maonesho ya Tano ya Biashara ya Madini yanayofanyika kitaifa mkoani Geita.
Mkuu wa wilaya ya Nyang'hwale mkoani Geita, Mhe. Jamhuri David William, akiweka saini katika kitabu cha wageni alipotembelea banda la Benki Kuu ya Tanzania (BoT) kwenye Maonesho ya Tano ya Biashara ya Madini yanayofanyika kitaifa mkoani Geita kuanzia tarehe 27 Septemba hadi 10 Oktoba 2022.
Mkuu wa wilaya ya Nyang'hwale mkoani Geita, Mhe. Jamhuri David William, akielezea jambo alipotembelea banda la Benki Kuu ya Tanzania (BoT) kwenye Maonesho ya Tano ya Biashara ya Madini yanayofanyika kitaifa mkoani Geita.
Afisa kutoka Bodi ya Bima ya Amana (DIB), Bi. Rukia Muhaji, akifafanua jambo kuhusu namna DIB inakinga amana za wateja wa mabenki nchini kwa Mkuu wa wilaya ya Nyang'hwale mkoani Geita, Mhe. Jamhuri David William (kulia) alipotembelea banda la Benki Kuu ya Tanzania (BoT) kwenye Maonesho ya Tano ya Biashara ya Madini yanayofanyika kitaifa mkoani Geita.(Picha na Benki Kuu).

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news