Waziri Mhandisi Masauni ateta na Balozi wa Ethiopia hapa nchini

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni (kushoto), akimsikiliza Balozi wa Ethiopia Nchini, Shibru Mamo Kedida alipokuwa akizungumzia masuala mbalimbali ya ushirikiano kati ya Serikali ya Tanzania na Ethiopia katika Kikao kilichofanyika jijini Dar es Salaam, leo Septemba 22, 2022. (Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi).
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni (kulia), akisalimiana na Balozi wa Ethiopia Nchini, Shibru Mamo Kedida, kabla ya mazungumzo yao kuhusu masuala mbalimbali ya ushirikiano kati ya Serikali ya Tanzania na Ethiopia, yaliyofanyika ofisi ndogo ya Wizara, jijini Dar es Salaam, leo Septemba 22, 2022. (Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi).
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni (kulia), akiwa katika picha ya pamoja na Balozi wa Ethiopia Nchini, Shibru Mamo Kedida, baada ya mazungumzo yao kuhusu masuala mbalimbali ya ushirikiano kati ya Serikali ya Tanzania na Ethiopia, yaliyofanyika ofisi ndogo ya Wizara, jijini Dar es Salaam, leo Septemba 22, 2022. (Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi).

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news