KAMATI YA BUNGE YARIDHISHWA NA UFANISI WA IDARA YA KUMBUKUMBU NA NYARAKA ZA TAIFA

MWENYEKITI wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala na Serikali za Mitaa (USEMI) Mhe. Abdallah Chaurembo kupitia kamati yake ameipongeza Idara ya Kumbukumbu na Nyaraka za Taifa kwa usimamizi mzuri na uadilifu katika matumizi ya fedha za miradi ya maendeleo walizotengewa na Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2021/2021, ambapo idara hiyo imeokoa kiasi cha shilingi milioni 800 ambazo zimeelekezwa katika maeneo mengine kuwahudumia wananchi.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news