USIKOSE JUMAMOSI HII:Wataangazia Utekelezaji wa Falsafa za Mwalimu Nyerere katika Serikali ya Awamu ya Sita

WATCH Tanzania inakualika kushiriki mkutano muhimu na maalum utakaofanyika Jumamosi ya Oktoba 15, 2022 kuanzia saa 5 kamili asubuhi hadi saa 7:30 mchana.
Mada:Utekelezaji wa Falsafa za Mwalimu Nyerere katika Serikali ya Awamu ya Sita
Muda ukifika saa 5 kamili asubuhi,Jumamosi ya Oktoba 15, 2022 utaweza kushiriki mkutano moja kwa moja kwa kubofya; 

https://bit.ly/3CpUbEa

Au kupitia
Meeting ID: 883 8972 2211
Passcode: 348252

Mkutano huu utarushwa mubashara (Youtube) kupitia EATV, Millard Ayo, Uhondo TV, Bongo 5, Clouds Digital, Global TV Online, , Gilly Bony TV, TBC Online, Mwanahalisi Digital, Mwananchi Digital, EFM Digital, Star TV, Saangapi TV, Mirror TV, MBI MEDIA, Lango la Habari, Mwanahabari Digital, Tughembe TV online, Daily News Digital, ITV na Azam TV.

Karibu.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news