Watumishi EWURA waongezewa maarifa


Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Mzumbe, Dkt.Venance Shillingi akitoa mafunzo kwa wafanyakazi Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na. Maji (EWURA) Kanda ya Mashariki kuhusu namna nzuri ya utoaji wa huduma kwa wateja, wakati wa semina elekezi kwenye Wiki ya Huduma kwa Mteja iliyofanyika kwenye ofisi ya taasisi hiyo kando ya barabara ya Sam Nujoma, Dar es Salaam.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news