Waziri Mchengerwa: Tamasha la Bagamoyo limemalizika kwa mafanikio makubwa

NA JOHN MAPEPELE

TAMASHA la Kimataifa la 41 la Utamaduni na Sanaa -Bagamoyo 2022 lililofunguliwa na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Philipo Mpango limemalizika kwa mafanikio makubwa.
Hayo yamesemwa na Waziri wa Utamaduni Sanaa na Michezo, Mheshimiwa Mohamed Mchengerwa siku ya mwisho wa tamasha ambapo amefafanua kuwa kumekuwa na maboresho makubwa ikilinganishwa na matamasha yaliyopita.

Aidha, amesema Wizara yake kwa kushirikiana na wadau itaendelea kuboresha Tamasha hili ikiwa ni utekelezaji wa maelekezo ya Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news