HAYA HAPA MAWAZO 65 YA KUTOKA KIMAISHA KWA MTAJI MDOGO

NA DIRAMAKINI

WAZO la biashara ni dhana ambayo inaweza kutumika kwa faida ya kifedha ambayo kwa kawaida huzingatia bidhaa au huduma ambayo inaweza kutolewa kwa pesa.
Wazo ni hatua ya kwanza katika mchakato wa kujenga biashara yenye mafanikio. Haya hapa mawazo yanayoweza kukusaidia kuvuka hatua moja. Endelea;

1.Nunua pikipiki ya dhamana ukaanza biashara ya Boda boda.

2.Fungua saluni

3.Mradi wa tofali za kuchoma

3.Fuga kuku

4.Somea ujuzi wowote

5.Mradi wa kushona nguo

6.kijiwe cha kuchomelea

7.kijiwe cha milango na madirisha ya aluminum

8.Mgahawa Mdogo

9.Kijjwe cha kahawa

10.Mashine ya kupukuchua mazao mfano mahindi, mpunga, mtama, karanga, nk

11.Mashine ya kukata nyasi, kupalilia

12.Kuuza mbuzi, kuku,

13.Biashara ya mazao.

14.kukodi bus, daladala na kuzisimamia upate cha juu

15.Kutengeneza sabuni, sanitizer, handwash,

16.Kutengeneza unga wa lishe

17.Kilimo cha umwagailiaji water pump, mbegu, madawa

18.Jiko la supu

19.kutengeneza mkaa mbadala

20.Kuuza chips

21.Kukaanga kuku

22.Kutengeneza vitafunio

23.Kuzalisha ethanol

24.kufuga poko mbuzi katoliki

25.Kufungua kilabu cha pombe za kienyeji

26.Kufungua vijiwe vya Kukusanya ubuyu maporini yakitimia magunia unaleta mjini

27.Kuuza juice

28.Kuuza juice ya miwa

29.Kijiwe cha kukaanga samaki jioni

30.Shughuli za upambaji kumbi

31.Kusambaza bidhaa majumbani

32.Kusambaza bidhaa basic needs kwenye maduka ya vijijini yaani unanua mjini unasambaza kwa oda viduka vya vijijini.

33.Kuzunguka minadani kuuza nguo za mitumba, vyombo, nk

34.Kufungua tuition center

35.Kufungua grocery

36.Kuwa wakala wa bidhaa za viwandani

37.kijiwe cha kukusanya taka za plastic, chuma,oil chafu na tairi chakavu.

38.Kufungua genge la kuuza basic home need

39.Kufungua ofisi ya kupiga nguo pasi.

40.Ofisi ya kutengeneza viatu na mabegi

41.Kutengeneza vyombo vya kupikia mfano, majiko, ndoo, sufuria, mifuniko, vikaangio, nk

42.Saluni ya kutengeneza kucha za wanawake

43......Jengea vyumba vitatu wazazi wako nyumba ya Bati upate baraka

44..Nunua shamba

45.Nunua ng'ombe wadogo watano kwa laki na nusu anza ufugaji.

Au nunua mbuzi anza kufuga

46.Fungua kijiwe cha kuonyesha mpira

47.duka la nguo za kupoint classic za mitumba piga pasi tundika kwenye enga

48..Ofisi za baiskeli za kukodi hapo unapata baiskeli nane

49..Duka la spea za baiskeli

50.Duka la dawa na vipodozi

51..ofisi ya kuchaji simu kwa sola vijijini

52..ofisi ya uwakala wa kutuma na kutoa pesa

53.. Bustani za kuzalisha miche ya miti na matunda

54... Ufugaji nyuki na kuuza asali

55.. Kuzalisha unga wa muhogo

56..Direct sale yaani door to door delivery hapa unakuwa na torori na speaker unapita KILA nyumba unauza bidhaa na kuchukua oda ya nini wanataka Ili kesho uwaletee.

57.Utengenezaji pellets chakula cha mifugo,samaki.

58. Unga wa lishe

59..mikeka

60.bidhaa za mianzi.

61.utengenezaji wine,

62.usafi wa majumbani

63.kuuza uji wa ulezi,mchele

64.utengenezaji mbolea za mboji na za maji.

65.utengenezaji wa vigae vya cement na vya udongo.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

2 Comments

Previous Post Next Post

International news