Kiwanda cha kutengeneza boti kinachomilikiwa na KMKM Zanzibar chazinduliwa

Mafundi wa Kikosi cha KMKM wakishusha Boti aina ya Faiba iliyomalizika kutengenezwa katika Kiwanda cha Kutengenezea Boti aina ya FAIBA kinachomilikiwa na KMKM Ngara Kibweni Zanzibar ikiwa ni shamrashamra za Miaka 59 ya Mapinduzi Zanzibar.Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Kazi Uchumi na Uwekezaji, Mudrik Ramadhan Soraga (katikati) akikata utepe kuashiria ufunguzi wa Kiwanda cha Kutengenezea Boti aina ya FAIBA kinachomilikiwa na KMKM Ngara Kibweni Zanzibar ikiwa ni shamrashamra za Miaka 59 ya Mapinduzi Zanzibar,Kushoto kwake ni Mkuu wa KMKM Komodoo Azana Hassan Msingiri.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Kazi Uchumi na Uwekezaji, Mudrik Ramadhan Soraga akipata maelezo kutoka kwa Fundi Mkuu (LESTINANT), Kamanda Rashid Masemo kuhusiana na namna wanavyotengeneza boti baada ya ufunguzi wa kiwanda hicho kinach milikiwa na KMKM Ngara Kibweni Zanzibar ikiwa ni shamrashamra za Miaka 59 ya Mapinduzi Zanzibar.
Mkuu wa KMKM Komodoo Azana Hassan Msingiri akitoa hotuba wakati akimkaribisha mgeni rasmi katika hafla ya ufunguzi wa Kiwanda cha Kutengeneza Boti aina ya Faiba kinachomilikiwa na KMKM Ngara Kibweni Zanzibar ikiwa ni shamrashamra za Miaka 59 ya Mapinduzi Zanzibar.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Kazi Uchumi na Uwekezaji, Mudrik Ramadhan Soraga akitoa hotuba ya ufunguzi wa Kiwanda cha Kutengeneza Boti aina ya Faiba kinachomilikiwa na KMKM Ngara Kibweni Zanzibar ikiwa ni Shamra shamra za Miaka 59 ya Mapinduzi Zanzibar. (PICHA NA YUSSUF SIMAI/MAELEZO ZANZIBAR).

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news