Balozi Shelukindo asisitiza umuhimu wa kufanya kazi kwa ushirikiano

Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Samwel Shelukindo akipokea maua mara baada ya kuwasili katika ofisi za Wizara jijini Dodoma tarehe 28 Februari 2023. Balozi Shelukindo aliapishwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuushika wadhifa huo tarehe 27 Februari 2023.
Katibu Mkuu, Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Samwel Shelukindo akisalimiana na Naibu Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Balozi Fatma Rajab wakati wa hafla ya mapokezi iliyofanyika jijini Dodoma tarehe 28 Februari 2023.
Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Samwel Shelukindo akisalimiana na Mkurugenzi wa Idara ya Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu, Bw. Alex Mfungo wakati wa hafla ya mapokezi iliyofanyika jijini Dodoma tarehe 28 Februari 2023.
Katibu Mkuu, Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Samwel Shelukindo akisalimiana na Mkurugenzi wa Idara ya Afrika, Balozi Naimi Aziz wakati wa hafla ya mapokezi iliyofanyika jijini Dodoma tarehe 28 Februari 2023.
Katibu Mkuu, Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Samwel Shelukindo akisalimiana na Mkurugenzi wa Idara ya Asia na Australasia, Balozi Caesar Waitara wakati wa hafla ya mapokezi iliyofanyika jijini Dodoma tarehe 28 Februari 2023.
Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Samwel Shelukindo akisalimiana na Mkaguzi Mkuu wa Ndani, Bw. Japhary Kachenje wakati wa hafla ya mapokezi iliyofanyika katika ofisi za Wizara jijini Dodoma tarehe 28 Februari 2023.
Katibu Mkuu, Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Samwel Shelukindo akisalimiana na Mkurugenzi wa Idara ya Sera na Mipango, Bw. Haji Janabi wakati wa hafla ya mapokezi iliyofanyika katika ofisi za Wizara jijini Dodoma tarehe 28 Februari 2023.
Katibu Mkuu, Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Samwel Shelukindo akisalimiana na Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Ushirikiano wa Kikanda, Bi. Talha Waziri wakati wa hafla ya mapokezi iliyofanyika katika ofisi za Wizara jijini Dodoma tarehe 28 Februari 2023.
Naibu Katibu Mkuu, Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Fatma Rajab akimkaribisha Katibu Mkuu wa Wizara hiyo Balozi Samwel Shelukindo ajitambulishe kwa menejimenti ya Wizara wakati wa hafla ya mapokezi iliyofanyika katika ofisi za Wizara jijini Dodoma tarehe 28 Februari 2023.
Katibu Mkuu, Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Samwel Shelukindo (kushoto) akiongoza kikao cha Menejimenti kilichofanyika kwa lengo la kujitambulisha katika ofisi za Wizara jijini Dododma tarehe 28 Februari 2023. Kulia ni Naibu Katibu Mkuu wa Wizara hiyo Balozi Fatma Rajab.
Mkurugenzi Idara ya Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu, Bw. Alex Mfungo na Mkurugenzi Idara ya Sera na Mipango, Bw. Haji Janabi wakifatilia kikao cha utambulisho wa Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Samwel Shelukindo kilichofanyika katika ofisi za Wizara jijini Dodoma tarehe 28 Februari 2023.
Mkurugenzi Idara ya Afrika, Balozi Naimi Aziz akijitambulisha kwa Katibu Mkuu, Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Samwel Shelukindo katika hafla ya mapokezi yaliyofanyika katika ofisi za Wizara jijini Dodoma tarehe 28 Februari 2023.
Mkurugenzi wa Asia na Australasia katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Caesar Waitara (kulia) na Kaimu Mkurugenzi wa Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi Noel Kaganda wakifuatilia kikao cha utambulisho wa Katibu Mkuu kilichofanyika katika ofisi za Wizara jijini Dodoma tarehe 28 Februari 2023.
Kutoka kulia ni Mhasibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Bw. Swalehe Chondoma na Bw. Haji Janabi wakifuatilia kikao cha utambulisho wa Katibu Mkuu kilichofanyika katika ofisi za Wizara jijini Dodoma tarehe 28 Februari 2023.
Kutoka kulia ni Kaimu Mkurugenzi Idara ya Mashariki ya Kati, Bw. Leonce Bilauri na Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Biashara, Uwekezaji na Sekta za Uzalishaji wakifuatilia kikao cha utambulisho cha Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrka Mashariki, Balozi Samwel Shelukindo.
Sehemu nyingine ya wajumbe wa managementi wakifuatilia kikao.
Kutoka kulia ni Kaimu Mkurugenzi Idara ya Siasa, Ulinzi na Usalama, Bw. Amani Mwatonoka na Kaimu Mkurugenzi Idara ya Ulaya na Amerika, Bi. Salma Baraka wakifuatilia kikao cha utambulisho wa Katibu Mkuu kilichofanyika katika ofisi za Wizara jijini Dododma tarehe 28 Februari 2023.
Kulia ni Mkuu wa Kitengo cha Teknolojia ya Habari na Mawasiliano, Dkt. Isaac Kalumu na Kaimu Mkurugenzi Idara ya Ushirikiano wa Kikanda, Bi. Talha Waziri wakifuatilia kikao cha utambulisho wa Katibu Mkuu kilichofanyika katika ofisi za Wizara jijini Dododma tarehe 28 Februari 2023.
Mwakilishi wa Kitengo cha Mawasiliano ya Serikali, Bw. Ally Kondo (Kushoto) na Kaimu Mkurugenzi Idara ya Uratibu wa Biashara za Kimataifa na Diplomasia ya Uchumi, Bw., Francis Berege wakifuatilia kikao cha utambulisho wa Katibu Mkuu kilichofanyika katika ofisi za Wizara jijini Dodoma tarehe 28 Februari 2023
Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Samwel Shelukindo akiwasili katika ofisi za Wizara jijini Dodoma tarehe 28 Februari 2023.
Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Samwel Shelukindo (kulia) akisalimiana na sehemu ya madereva walioshiriki hafla ya mapokezi katika ofisi za Wizara jiji Dodoma tarehe 28 Februari 2023.
Picha ya Pamoja.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news