Rais Dkt.Mwinyi ateta na wawekezaji wa Kiwanda cha Uchakataji wa Samaki (Fungurefu)

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi (kulia) akizungumza na Wawekezaji wa Kiwanda cha Uchakataji wa Samaki (Fungurefu) wakiongozwa na Mwenyekiti Jin-Il Kim (wa pili kulia) leo walipofika Ikulu jijini Zanzibar kushoto ni Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar, Dkt.Mohamed Said Mohamed (Dimwa). (Picha na Ikulu).
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Alhaj DkT.Hussein Ali Mwinyi (katikati) alipokuwa akizungumza na Wawekezaji wa Kiwanda cha Uchakataji wa Samaki (Fungurefu) wakiongozwa na Mwenyekiti Jin-Il Kim (kulia kwa Rais) walipofika Ikulu Jijini Zanzibar leo.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Alhaj DkT.Hussein Ali Mwinyi (katikati) alipokuwa akisisitiza jambo wakati wa mazungumzo na Wawekezaji wa Kiwanda cha Uchakataji wa Samaki (Fungurefu) wakiongozwa na Mwenyekiti Jin-Il,Kim (kulia kwa Rais) walipofika Ikulu Jijini Zanzibar leo.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news