Viwango elekezi vya kubadilisha fedha za kigeni leo Machi 14, 2023

NA GODFREY NNKO

LEO Dola ya Marekani (USD) inanunuliwa kwa shilingi 2299 na kuuzwa kwa shilingi 2321.99 huku Dinar ya Kuwait (KWD) ikinunuliwa kwa shilingi 7503.51 na kuuzwa kwa shilingi 7576.07.

Hayo ni kwa mujibu wa taarifa ya viwango elekezi vya kubadilisha fedha za kigeni iliyotolewa leo Machi 14, 2023 na Benki Kuu ya Tanzania (BoT).

Paundi ya Uingereza (GBP) inanunuliwa kwa shilingi 2786.85 na kuuzwa kwa shilingi 2815.88 huku Franka ya Rwanda (RWF) ikinunuliwa kwa shilingi 2.09 na kuuzwa kwa shilingi 2.15.

Dirham ya Umoja wa Falme za Kiarabu (AED) inanunuliwa kwa shilingi 625.90 na kuuzwa kwa shilingi 632.18 huku Schilling ya Australia (ATS) ikinunuliwa kwa shilingi 147.53 na kuuzwa kwa shilingi 148.83.

Dola ya Zimbabwe (ZWD) inanunuliwa kwa shilingi 0.43 na kuuzwa kwa shilingi 0.44 huku Euro ya Ulaya (EUR) inanunuliwa kwa shilingi 2463.15 na kuuzwa kwa shilingi 2488.24.

Shilingi ya Uganda (UGX) inanunuliwa kwa shilingi 0.59 na kuuzwa kwa shilingi 0.62 huku Franka ya Burundi (BIF) ikinunuliwa kwa shilingi 2.20 na kuuzwa kwa shilingi 2.22.

Dola ya Canada (CAD) inanunuliwa kwa shilingi 1671.15 na kuuzwa kwa shilingi 1687.25 huku Franka ya Uswisi (CHF) ikinunuliwa kwa shilingi 2525.82 na kuuzwa kwa shilingi 2549.96.

Shilingi ya Kenya (KES) inanunuliwa kwa shilingi 17.77 na kuuzwa kwa shilingi 17.92 huku Kwacha ya Malawi (MWK) ikinunuliwa kwa shilingi 2.03 na kuuzwa kwa shilingi 2.20.

Krona ya Sweden (SEK) inanunuliwa kwa shilingi 215.45 na kuuzwa kwa shilingi 217.54 huku Randi ya Afrika Kusini (ZAR) ikinunuliwa kwa shilingi 126.61 na kuuzwa kwa shilingi 127.77.

Yen ya Japan (JPY) inanunuliwa kwa shilingi 17.34 na kuuzwa kwa shilingi 17.51 huku Yuan ya China (CNY) ikinunuliwa kwa shilingi 334.86 na kuuzwa kwa shilingi 337.96.

Dola ya Australia (AUD) inanunuliwa kwa shilingi 1534.12 na kuuzwa kwa shilingi 1549.93 huku SDR ya Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF) ikinunuliwa kwa shilingi 3051.23 na kuuzwa kwa shilingi 3081.74.

Foreign Exchange Rates in United Republic of Tanzania today March 14th, 2023 according to Central Bank (BoT);
S/NO Currency Buying Selling Mean Transaction Date
1 AED 625.9871 632.2125 629.0998 14-Mar-23
2 ATS 147.5269 148.8341 148.1805 14-Mar-23
3 AUD 1534.1227 1549.9283 1542.0255 14-Mar-23
4 BEF 50.3229 50.7683 50.5456 14-Mar-23
5 BIF 2.2012 2.2178 2.2095 14-Mar-23
6 CAD 1671.1493 1687.2475 1679.1984 14-Mar-23
7 CHF 2525.8185 2549.9561 2537.8873 14-Mar-23
8 CNY 334.8628 337.9652 336.414 14-Mar-23
9 DEM 921.1844 1047.1206 984.1525 14-Mar-23
10 DKK 330.9294 334.1906 332.56 14-Mar-23
11 ESP 12.2008 12.3085 12.2546 14-Mar-23
12 EUR 2463.1486 2488.2444 2475.6965 14-Mar-23
13 FIM 341.4221 344.4475 342.9348 14-Mar-23
14 FRF 309.4754 312.213 310.8442 14-Mar-23
15 GBP 2786.8478 2815.8772 2801.3625 14-Mar-23
16 HKD 293.1388 296.0664 294.6026 14-Mar-23
17 INR 27.9622 28.223 28.0926 14-Mar-23
18 ITL 1.0484 1.0577 1.0531 14-Mar-23
19 JPY 17.3457 17.5126 17.4291 14-Mar-23
20 KES 17.7666 17.9166 17.8416 14-Mar-23
21 KRW 1.7599 1.7757 1.7678 14-Mar-23
22 KWD 7503.5086 7576.071 7539.7898 14-Mar-23
23 MWK 2.0337 2.2009 2.1173 14-Mar-23
24 MYR 511.7988 515.7686 513.7837 14-Mar-23
25 MZM 35.4237 35.7229 35.5733 14-Mar-23
26 NLG 921.1844 929.3536 925.269 14-Mar-23
27 NOK 216.4437 218.5053 217.4745 14-Mar-23
28 NZD 1430.6677 1446.1353 1438.4015 14-Mar-23
29 PKR 7.7663 8.2331 7.9997 14-Mar-23
30 RWF 2.0904 2.1538 2.1221 14-Mar-23
31 SAR 612.3971 618.4551 615.4261 14-Mar-23
32 SDR 3051.2328 3081.7452 3066.489 14-Mar-23
33 SEK 215.4518 217.5452 216.4985 14-Mar-23
34 SGD 1704.2254 1721.0124 1712.6189 14-Mar-23
35 UGX 0.5941 0.6234 0.6087 14-Mar-23
36 USD 2299 2321.99 2310.495 14-Mar-23
37 GOLD 4369685.1605 4414957.2501 4392321.2053 14-Mar-23
38 ZAR 126.615 127.7756 127.1953 14-Mar-23
39 ZMW 110.5015 113.517 112.0092 14-Mar-23
40 ZWD 0.4303 0.4389 0.4346 14-Mar-23

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news