Viwango elekezi vya kubadilisha fedha za kigeni leo Machi 22, 2023

NA GODFREY NNKO

LEO Shilingi ya Kenya (KES) inanunuliwa kwa shilingi 17.63 na kuuzwa kwa shilingi 17.78 huku Kwacha ya Malawi (MWK) ikinunuliwa kwa shilingi 2.08 na kuuzwa kwa shilingi 2.24.

Picha na Anadolu Agency/Getty Images.

Hayo ni kwa mujibu wa taarifa ya viwango elekezi vya kubadilisha fedha za kigeni iliyotolewa leo Machi 22, 2023 na Benki Kuu ya Tanzania (BoT).

Krona ya Sweden (SEK) inanunuliwa kwa shilingi 222.84 na kuuzwa kwa shilingi 225.01 huku Randi ya Afrika Kusini (ZAR) ikinunuliwa kwa shilingi 123.70 na kuuzwa kwa shilingi 125.89.

Yen ya Japan (JPY) inanunuliwa kwa shilingi 17.39 na kuuzwa kwa shilingi 17.57 huku Yuan ya China (CNY) ikinunuliwa kwa shilingi 334.61 na kuuzwa kwa shilingi 337.79.

Dola ya Australia (AUD) inanunuliwa kwa shilingi 1536.16 na kuuzwa kwa shilingi 1551.75 huku SDR ya Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF) ikinunuliwa kwa shilingi 3080.59 na kuuzwa kwa shilingi 3111.40.

Dola ya Marekani (USD) inanunuliwa kwa shilingi 2299.29 na kuuzwa kwa shilingi 2322.29 huku Dinar ya Kuwait (KWD) ikinunuliwa kwa shilingi 7500.80 na kuuzwa kwa shilingi 7573.34.

Paundi ya Uingereza (GBP) inanunuliwa kwa shilingi 2816.41 na kuuzwa kwa shilingi 2844.80 huku Franka ya Rwanda (RWF) ikinunuliwa kwa shilingi 2.08 na kuuzwa kwa shilingi 2.14.

Dirham ya Umoja wa Falme za Kiarabu (AED) inanunuliwa kwa shilingi 626.07 na kuuzwa kwa shilingi 632.24 huku Schilling ya Australia (ATS) ikinunuliwa kwa shilingi 147.54 na kuuzwa kwa shilingi 148.85.

Dola ya Zimbabwe (ZWD) inanunuliwa kwa shilingi 0.43 na kuuzwa kwa shilingi 0.44 huku Euro ya Ulaya (EUR) inanunuliwa kwa shilingi 2477.72 na kuuzwa kwa shilingi 2503.43.

Shilingi ya Uganda (UGX) inanunuliwa kwa shilingi 0.59 na kuuzwa kwa shilingi 0.62 huku Franka ya Burundi (BIF) ikinunuliwa kwa shilingi 2.20 na kuuzwa kwa shilingi 2.22.

Dola ya Canada (CAD) inanunuliwa kwa shilingi 1681.26 na kuuzwa kwa shilingi 1697.58 huku Franka ya Uswisi (CHF) ikinunuliwa kwa shilingi 2487.61 na kuuzwa kwa shilingi 2511.39.

Foreign Exchange Rates in United Republic of Tanzania today March 22nd, 2023 according to Central Bank (BoT);
S/NO Currency Buying Selling Mean Transaction Date
1 AED 626.1702 632.2426 629.2064 22-Mar-23
2 ATS 147.5459 148.8533 148.1996 22-Mar-23
3 AUD 1536.1603 1551.7542 1543.9573 22-Mar-23
4 BEF 50.3293 50.7749 50.5521 22-Mar-23
5 BIF 2.2015 2.218 2.2097 22-Mar-23
6 CAD 1681.2642 1697.5804 1689.4223 22-Mar-23
7 CHF 2487.6091 2511.3983 2499.5037 22-Mar-23
8 CNY 334.6136 337.7876 336.2006 22-Mar-23
9 DEM 921.3035 1047.2559 984.2797 22-Mar-23
10 DKK 332.8214 336.101 334.4612 22-Mar-23
11 ESP 12.2024 12.31 12.2562 22-Mar-23
12 EUR 2477.7224 2503.4286 2490.5755 22-Mar-23
13 FIM 341.4663 344.4921 342.9792 22-Mar-23
14 FRF 309.5154 312.2532 310.8843 22-Mar-23
15 GBP 2816.4089 2844.8053 2830.6071 22-Mar-23
16 HKD 293.0758 295.9952 294.5355 22-Mar-23
17 INR 27.841 28.1006 27.9708 22-Mar-23
18 ITL 1.0486 1.0578 1.0532 22-Mar-23
19 JPY 17.3939 17.5665 17.4802 22-Mar-23
20 KES 17.6326 17.7817 17.7072 22-Mar-23
21 KRW 1.7623 1.7789 1.7706 22-Mar-23
22 KWD 7500.8059 7573.3433 7537.0746 22-Mar-23
23 MWK 2.0809 2.2411 2.161 22-Mar-23
24 MYR 514.3841 518.9475 516.6658 22-Mar-23
25 MZM 35.4283 35.7275 35.5779 22-Mar-23
26 NLG 921.3035 929.4737 925.3886 22-Mar-23
27 NOK 218.448 220.5718 219.5099 22-Mar-23
28 NZD 1424.1846 1438.6586 1431.4216 22-Mar-23
29 PKR 7.7779 8.2231 8.0005 22-Mar-23
30 RWF 2.0777 2.1397 2.1087 22-Mar-23
31 SAR 612.1501 618.1729 615.1615 22-Mar-23
32 SDR 3080.5982 3111.4042 3096.0012 22-Mar-23
33 SEK 222.8368 225.015 223.9259 22-Mar-23
34 SGD 1721.804 1738.6314 1730.2177 22-Mar-23
35 UGX 0.5882 0.616 0.6021 22-Mar-23
36 USD 2299.297 2322.29 2310.7935 22-Mar-23
37 GOLD 4518118.6634 4565389.911 4541754.2872 22-Mar-23
38 ZAR 123.7046 124.8926 124.2986 22-Mar-23
39 ZMW 107.4852 111.6486 109.5669 22-Mar-23
40 ZWD 0.4303 0.4389 0.4346 22-Mar-23

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news