Air Tanzania yafunguka kuhusu changamoto za mabadiliko ya ratiba za ndege

NA MWANDISHI WETU

SHIRIKA la Ndege Tanzania (Air Tanzania) limesema linapitia changamoto za mabadiliko ya ratiba za ndege kutokana na uchache wa ndege zilizobaki uliosababishwa na kuchelewa kwa upatikanaji wa injini mbadala za ndege mbili za Airbus A220-300 kutokana na injini zake kuwa na matatizo.

“Injini mbadala, zinazotakiwa kutolewa na mtengenezaji Pratt & Whitney (P&W), zilitarajiwa kuwasili mwanzoni mwa mwezi Aprili 2023 kutokana na changamoto hizi, tunalazimika kutoa huduma kwa ratiba inayobanana sana ili kukidhi mahitaji makubwa ya wateja wetu.Wakati tunashughulikia changamoto hizi kwa haraka, tunaomba radhi kwa usumbufu uliojitokeza, kampuni ya ndege itaendelea kuhakikisha inatoa huduma bora ili kufikia matarajio ya wateja wetu;


Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news