Magazeti leo Januari 20,2026

TUME ya Kuchunguza Matukio ya Uvunjifu wa Amani yaliyojitokeza wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29 jana Januari 19, 2026 imekutana na wananchi wa Wilaya ya Temeke kwa lengo la kusikiliza na kupokea maoni na ushauri.
Mazungumzo hayo ya Tume na wananchi yamefanyika Ukumbi wa Iddy Nyundo uliopo katika Halmashauri ya Temeke, jijini Dar es Salaam.

Pia tume imekutana na wananchi wa Wilaya ya Ilala katika ukumbi wa Karimjee jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kusikiliza ushahidi wao wa matukio hayo.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

Know matter how large or small your business is, advertising here