Futari Ikulu yawakutanisha pamoja watani wa jadi leo

Mahasimu wa jadi Simba na Yanga leo Aprili 15, 2023 wamekutana kwenye Futari Ikulu jijini Dar es Salaam, wa kwanza kulia ni Rais wa Yanga, Mhandisi Hersi Said, Mwenyekiti wa Bodi ya Simba, Salim Abdallah (Try again) wa pili kutoka kulia pamoja na Mfadhili na Mdhamini wa Yanga, Ghalib Said Mohamed wa pili kutoka kushoto wakiwa Ikulu jijini Dar es Salaam kwa ajili ya Futari iliyoandaliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt.Samia Suluhu Hassan. Wa kwanza kushoto ni Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Mhe.Edward Mpogolo. (Picha na Ikulu).

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news