Ijue mbinu muhimu ya kudhibiti wezi katika biashara

NA MWANDISHI WETU

KAZI yangu ni biashara ya kuuza nafaka mbalimbali hapa mtaa wa Buza jijini Dar es Salaam nimeifanya hii kazi kwa miaka sita ambayo nimeweza kurudishwa sana nyuma na wezi.

Hilo lilinifanya nifikirie kuhamisha duka langu na kwenda sehemu nyingine tofauti na Buza ila nikahitimisha siwezi kukimbia wezi na zaidi nikihamisha duka langu nitapoteza wateja wangu.

Kulingana jina ambalo nilikuwa nimeshalitengeneza nilikuwa na uhakika wa kuuza sh.800,000 kwa siku kutokana na idadi kubwa ya wateja ambao nilikuwa nao.

Ilinibidi nivumilie na kuongeza jitiada katika biashara yangu ya duka pamoja na kulipa kampuni tofauti kwa ajili ya kupata walinzi dukani kwangu.

Jitiada hizo ziliweza kunisaidia kwa miezi sita tu na baadaye wezi walirudi na kuniibia bidhaa zenye thamani ya shilingi milioni 12 na mlinzi aliyekuwepo siku hiyo aliweza kufungwa mikono, mdomo na miguu, huku wakimpiga sana hadi kumjeruhi.

Kabla sijafika kazini kwangu asubui nilipokea simu kuwa wezi wamevunja duka langu tena na mlinzi yupo Hospitali na hali yake ni mbaya sana.

Kwa haraka sana niliweza kufika kituo cha Polisi na kutoa maelezo kisha nikapewa askari wawili nikaenda nao dukani kwangu, wakatazama kilichotendeka, kisha nikaongozana nao hadi Hospitali ili tuweze pata neno lolote kutoka kwa mlinzi aliyekuwepo lindo.

Tulipofika Hospitali kwa ajili ya kumuona mlinzi Daktari tuliyekutana naye alitupa taarifa kuwa mtu tunayemuitaji kapoteza fahamu hivyo inabidi tusubiri kwa mda wa saa nne ndio tutaweza kumuona.

Baada ya saa mbili kupita Daktari alirudi na kutupa taarifa kuwa mlinzi kapoteza maisha, hakika matumaini yangu ya kupata wezi yaliishia pale pale kwa sababu nilihisi mlinzi kuna jambo ambalo angewapatia Askari kuhusu wahusika.

Hivyo ilibidi twende hadi kwenye chumba alipokuwa amelazwa kwa ajili ya Askari kutoa taarifa zao kama inayohitajika.

Duka langu lilifungwa kwa kipindi cha siku 25 kwa ajili ya Askari kufanya upelelezi wao kwa ajili ya kabaini wahusika ni akina nani hasa.

Siku 25 zilivyoisha niliweza kuruhusiwa kufungua duka langu na Askari kuniaidi kuwa wahusika watapatikana muda si mrefu, pia kila Ijumaa niwe naripoti kituoni.

Nilifuata maelezo ya mkuu wa kituo kila siku ya Ijumaa na kwenda pale kituoni ila kila siku nilivyokuwa nafika mkuu wa kituo alikuwa ananiambia Askari wake bado wanafuatilia jambo langu.

Miezi mitatu baada ya tukio hilo kufanyika dukani kwangu bado wahusika walikuwa hawajagundulika ikabidi nitafute njia nyingine ya kuweza kuwapata wahusika maana kila siku nilikuwa napatwa na wasiwasi kuwa watarudi kumalizia walichokiza.

Wasiwasi huo ulinifanya nitafute msaada wa ziada ili niweze kuwapata wahusika na wapate maumivu kama mimi niliyoyapata baada ya kusababisha kifo cha mlinzi wangu na kuniibia mali yangu.

Siku moja nikiwa kwenye mtandao niliweza kukutana website ya African Doctor; www.african-doctors.com na kupata namba yake; +254 769404965.

Niligundua kuwa naweza kupata usaidizi wa haraka sana kubaini wabaya wangu, nikiwa kwa website yao nikagundua kuwa wanatatua shida mbalimbali kama vile kusafirisha nyota, kurudisha mpenzi, kupata cheo kazini, nguvu za kiume, magic ring, magic wallet, kumfunga mwanamke au mwanaume asiende nje ya ndoa, kuwa na mvuto wa biashara na zaidi nikagundua kuwa wanatibu magonjwa sugu kama vile Sukari, Pressure, TB, Gonorrhea, Miguu kuwasha moto chini na Syphilis.

Niliweza kuongea na African Doctors na nikamueleza sitaweza kufika ofisini kwake ila nahitaji usaidizi wake kwa sababu wezi wamenirudisha nyuma kwa muda mrefu ndipo African Doctors aliweza nipatia maelezo na nikafanya alivyonielekeza kisha akanambia kuwa kazi yangu ataifanya ndani ya saa 24 tu. Usiku wa siku hiyo sikuweza pata usingizi kabisa zaidi ya kujisemea; za mwizi ni 40.

Saa nane usiku nikapokea simu kutoka kwa Askari kuwa kuna kundi la watu sita wapo mlangoni kwa duka langu na kibaya zaidi wamejaribu kuwatoa imeshindikana hapo hapo mimi nikajua ni kazi ya African Doctors.

Nikachukua simu yangu na kumtaarifu African Doctors kisha akaniambia usiende hadi asubuhi yake, siku hiyo nilitoka kwangu nikiringa kuelekea kazini kwangu. Mbaya zaidi wote wahusika walikuwa ni watu ambao nawafahamu na miongoni mwao kuna mfanyabiashara mwezangu.

Mimi niliwaomba wanipe kiasi cha fedha (siri yangu) na baada ya kukubaliana kwa kile nilichotaka nilifanya kama African Doctors alivyonielekeza na wote Askari wakawachukua hadi sasa wapo gerezani. Asante African Doctors sina zaidi ya kuonesha wengine zaidi ya kutoa ushuhuda wangu kwa kazi nzuri uliyonifanyia maana wapo wengi wanaokosa haki zao kila siku.

Kufahamu mengi zaidi wasiliana na African Doctors kwa namba; +254 769 404965, tembelea tovuti yao; www.african-doctors.com au watumie email; africandoctorheals@gmail.com.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news