Viwango elekezi vya kubadilisha fedha za kigeni leo Mei 18, 2023

NA GODFREY NNKO

LEO Dola ya Marekani (USD) inanunuliwa kwa shilingi 2304.76 na kuuzwa kwa shilingi 2327.81 huku Dinar ya Kuwait (KWD) ikinunuliwa kwa shilingi 7506.39 na kuuzwa kwa shilingi 7578.99.

Hayo ni kwa mujibu wa taarifa ya viwango elekezi vya kubadilisha fedha za kigeni iliyotolewa leo Mei 18, 2023 na Benki Kuu ya Tanzania (BoT).

Paundi ya Uingereza (GBP) inanunuliwa kwa shilingi 2870.35 na kuuzwa kwa shilingi 2899.52 huku Franka ya Rwanda (RWF) ikinunuliwa kwa shilingi 2.03 na kuuzwa kwa shilingi 2.10.

Dirham ya Umoja wa Falme za Kiarabu (AED) inanunuliwa kwa shilingi 627.73 na kuuzwa kwa shilingi 633.83 huku Schilling ya Australia (ATS) ikinunuliwa kwa shilingi 147.89 na kuuzwa kwa shilingi 149.21.

Dola ya Zimbabwe (ZWD) inanunuliwa kwa shilingi 0.43 na kuuzwa kwa shilingi 0.44 huku Euro ya Ulaya (EUR) inanunuliwa kwa shilingi 2493.52 na kuuzwa kwa shilingi 2519.39.

Yen ya Japan (JPY) inanunuliwa kwa shilingi 16.80 na kuuzwa kwa shilingi 16.96 huku Yuan ya China (CNY) ikinunuliwa kwa shilingi 329.37 na kuuzwa kwa shilingi 332.59.

Dola ya Australia (AUD) inanunuliwa kwa shilingi 1532.67 na kuuzwa kwa shilingi 1548.23 huku SDR ya Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF) ikinunuliwa kwa shilingi 3096.22 na kuuzwa kwa shilingi 3127.18.

Shilingi ya Uganda (UGX) inanunuliwa kwa shilingi 0.59 na kuuzwa kwa shilingi 0.62 huku Franka ya Burundi (BIF) ikinunuliwa kwa shilingi 2.21 na kuuzwa kwa shilingi 2.22.

Dola ya Canada (CAD) inanunuliwa kwa shilingi 1709.89 na kuuzwa kwa shilingi 1726.86 huku Franka ya Uswisi (CHF) ikinunuliwa kwa shilingi 2559.71 na kuuzwa kwa shilingi 2584.16.

Shilingi ya Kenya (KES) inanunuliwa kwa shilingi 16.79 na kuuzwa kwa shilingi 16.93 huku Kwacha ya Malawi (MWK) ikinunuliwa kwa shilingi 2.09 na kuuzwa kwa shilingi 2.23.

Krona ya Sweden (SEK) inanunuliwa kwa shilingi 220.03 na kuuzwa kwa shilingi 222.16 huku Randi ya Afrika Kusini (ZAR) ikinunuliwa kwa shilingi 119.42 na kuuzwa kwa shilingi 120.52.

Foreign Exchange Rates in United Republic of Tanzania today May 18th, 2023 according to Central Bank (BoT);

S/NO Currency Buying Selling Mean Transaction Date
1 AED 627.727 633.8316 630.7793 18-May-23
2 ATS 147.8967 149.2071 148.5519 18-May-23
3 AUD 1532.667 1548.2264 1540.4467 18-May-23
4 BEF 50.449 50.8956 50.6723 18-May-23
5 BIF 2.2067 2.2233 2.215 18-May-23
6 CAD 1709.8912 1726.862 1718.3766 18-May-23
7 CHF 2559.7095 2584.1585 2571.934 18-May-23
8 CNY 329.3694 332.5918 330.9806 18-May-23
9 DEM 923.4934 1049.7452 986.6193 18-May-23
10 DKK 334.8972 338.197 336.5471 18-May-23
11 ESP 12.2314 12.3393 12.2854 18-May-23
12 EUR 2493.5224 2519.3888 2506.4556 18-May-23
13 FIM 342.2779 345.3109 343.7944 18-May-23
14 FRF 310.2511 312.9955 311.6233 18-May-23
15 GBP 2870.3511 2899.5201 2884.9356 18-May-23
16 HKD 294.3465 297.2785 295.8125 18-May-23
17 INR 27.9692 28.2414 28.1053 18-May-23
18 ITL 1.051 1.0604 1.0557 18-May-23
19 JPY 16.801 16.9653 16.8832 18-May-23
20 KES 16.7863 16.9295 16.8579 18-May-23
21 KRW 1.7225 1.7391 1.7308 18-May-23
22 KWD 7506.3912 7578.9868 7542.689 18-May-23
23 MWK 2.0804 2.229 2.1547 18-May-23
24 MYR 509.9032 513.8654 511.8843 18-May-23
25 MZM 35.5125 35.8125 35.6625 18-May-23
26 NLG 923.4934 931.683 927.5882 18-May-23
27 NOK 212.801 214.8596 213.8303 18-May-23
28 NZD 1440.246 1455.5796 1447.9128 18-May-23
29 PKR 7.6972 8.1546 7.9259 18-May-23
30 RWF 2.0347 2.1011 2.0679 18-May-23
31 SAR 614.6197 620.7327 617.6762 18-May-23
32 SDR 3096.2178 3127.18 3111.6989 18-May-23
33 SEK 220.0272 222.1638 221.0955 18-May-23
34 SGD 1715.8743 1732.3881 1724.1312 18-May-23
35 UGX 0.5948 0.6241 0.6094 18-May-23
36 USD 2304.7624 2327.81 2316.2862 18-May-23
37 GOLD 4569421.8872 4617443.916 4593432.9016 18-May-23
38 ZAR 119.4239 120.5245 119.9742 18-May-23
39 ZMW 120.7008 122.6907 121.6957 18-May-23
40 ZWD 0.4312 0.44 0.4356 18-May-23

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news