Viwango elekezi vya kubadilisha fedha za kigeni leo Mei 19, 2023

NA GODFREY NNKO

LEO Dola ya Canada (CAD) inanunuliwa kwa shilingi 1711.20 na kuuzwa kwa shilingi 1727.67 huku Franka ya Uswisi (CHF) ikinunuliwa kwa shilingi 2557.41 na kuuzwa kwa shilingi 2581.83.

Hayo ni kwa mujibu wa taarifa ya viwango elekezi vya kubadilisha fedha za kigeni iliyotolewa leo Mei 19, 2023 na Benki Kuu ya Tanzania (BoT).

Shilingi ya Kenya (KES) inanunuliwa kwa shilingi 16.79 na kuuzwa kwa shilingi 16.93 huku Kwacha ya Malawi (MWK) ikinunuliwa kwa shilingi 2.08 na kuuzwa kwa shilingi 2.25.

Krona ya Sweden (SEK) inanunuliwa kwa shilingi 218.93 na kuuzwa kwa shilingi 221.06 huku Randi ya Afrika Kusini (ZAR) ikinunuliwa kwa shilingi 118.81 na kuuzwa kwa shilingi 119.97.

Dola ya Marekani (USD) inanunuliwa kwa shilingi 2304.99 na kuuzwa kwa shilingi 2328.04 huku Dinar ya Kuwait (KWD) ikinunuliwa kwa shilingi 7503.22 na kuuzwa kwa shilingi 7575.79.

Paundi ya Uingereza (GBP) inanunuliwa kwa shilingi 2865.10 na kuuzwa kwa shilingi 2894.92 huku Franka ya Rwanda (RWF) ikinunuliwa kwa shilingi 2.04 na kuuzwa kwa shilingi 2.09.

Dirham ya Umoja wa Falme za Kiarabu (AED) inanunuliwa kwa shilingi 627.75 na kuuzwa kwa shilingi 633.98 huku Schilling ya Australia (ATS) ikinunuliwa kwa shilingi 147.91 na kuuzwa kwa shilingi 149.22.

Dola ya Zimbabwe (ZWD) inanunuliwa kwa shilingi 0.43 na kuuzwa kwa shilingi 0.44 huku Euro ya Ulaya (EUR) inanunuliwa kwa shilingi 2488.69 na kuuzwa kwa shilingi 2514.52.

Yen ya Japan (JPY) inanunuliwa kwa shilingi 16.69 na kuuzwa kwa shilingi 16.86 huku Yuan ya China (CNY) ikinunuliwa kwa shilingi 327.78 na kuuzwa kwa shilingi 330.85.

Dola ya Australia (AUD) inanunuliwa kwa shilingi 1529.59 na kuuzwa kwa shilingi 1546.05 huku SDR ya Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF) ikinunuliwa kwa shilingi 3085.46 na kuuzwa kwa shilingi 3116.31.

Shilingi ya Uganda (UGX) inanunuliwa kwa shilingi 0.59 na kuuzwa kwa shilingi 0.62 huku Franka ya Burundi (BIF) ikinunuliwa kwa shilingi 2.21 na kuuzwa kwa shilingi 2.22.

Foreign Exchange Rates in United Republic of Tanzania today May 19th, 2023 according to Central Bank (BoT);
S/NO Currency Buying Selling Mean Transaction Date
1 AED 627.7548 633.9806 630.8677 19-May-23
2 ATS 147.9113 149.2219 148.5666 19-May-23
3 AUD 1529.5914 1546.0514 1537.8214 19-May-23
4 BEF 50.454 50.9006 50.6773 19-May-23
5 BIF 2.2069 2.2235 2.2152 19-May-23
6 CAD 1711.2027 1727.6735 1719.4381 19-May-23
7 CHF 2557.4061 2581.8343 2569.6202 19-May-23
8 CNY 327.7858 330.852 329.3189 19-May-23
9 DEM 923.5846 1049.8489 986.7168 19-May-23
10 DKK 334.2455 337.5585 335.902 19-May-23
11 ESP 12.2326 12.3405 12.2866 19-May-23
12 EUR 2488.6978 2514.516 2501.6069 19-May-23
13 FIM 342.3117 345.3451 343.8284 19-May-23
14 FRF 310.2818 313.0264 311.6541 19-May-23
15 GBP 2865.1027 2894.9177 2880.0102 19-May-23
16 HKD 294.4658 297.4028 295.9343 19-May-23
17 INR 27.9124 28.184 28.0482 19-May-23
18 ITL 1.0511 1.0605 1.0558 19-May-23
19 JPY 16.6907 16.8564 16.7736 19-May-23
20 KES 16.788 16.9312 16.8596 19-May-23
21 KRW 1.7262 1.7428 1.7345 19-May-23
22 KWD 7503.223 7575.7892 7539.5061 19-May-23
23 MWK 2.0811 2.2463 2.1637 19-May-23
24 MYR 508.3789 512.8971 510.638 19-May-23
25 MZM 35.516 35.816 35.666 19-May-23
26 NLG 923.5846 931.7751 927.6798 19-May-23
27 NOK 212.1561 214.1987 213.1774 19-May-23
28 NZD 1436.7003 1452.2313 1444.4658 19-May-23
29 PKR 7.6811 8.1463 7.9137 19-May-23
30 RWF 2.0384 2.0952 2.0668 19-May-23
31 SAR 614.6312 620.7444 617.6878 19-May-23
32 SDR 3085.4597 3116.3143 3100.887 19-May-23
33 SEK 218.9349 221.0654 220.0002 19-May-23
34 SGD 1712.8559 1729.7273 1721.2916 19-May-23
35 UGX 0.5948 0.6244 0.6096 19-May-23
36 USD 2304.99 2328.04 2316.515 19-May-23
37 GOLD 4539193.952 4585773.192 4562483.572 19-May-23
38 ZAR 118.8072 119.968 119.3876 19-May-23
39 ZMW 119.8971 122.9036 121.4003 19-May-23
40 ZWD 0.4313 0.4401 0.4357 19-May-23

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news