Nilisikia sauti ikisema 'mnatongozwa mnaringa'

NA MWANDISHI WETU

SASA ni miaka mitano imepita baada ya kufanyiwa kitendo kibaya sana na kundi la watu sita, ni vijana ambao Walinisimamisha nikiwa njiani kuelekea nyumbani, nilisimama bila wasiwasi kwa sababu ulikuwa ni muda wa saa 8:30 usiku na watu wengi bado walikuwa wanatembea barabarani.

Baada ya kusimama, kijana mmoja mrefu alisimama mbele yangu na kuniita jina 'Fatma' na kunisalimia, nikaitikia vizuri, ghafla wote wakanizunguka na mmoja wao akatoa kitambaa na mwingine akatoa kisu na kuniomba simu yangu na mkoba pia.

Aidha, baada ya kuwapatia nikaambiwa nisitoe neno lolote na mimi sikuweza kupingana kutokana na mshutuko niliokuwa nao, hata nguvu nilikuwa sina, hivyo wakanichukua na kwenda kuniingiza kwenye gari na kunifunika macho kisha wakaondoka na mimi.

Tulifika sehemu gari likasimama na kijana moja akasema “Bosi hajafika?", baada ya saa moja kupita nikasikia mtu mwingine amefika ila sauti yake niliweza kuifananisha na mtu mwingine aliyenitongoza kwa mwaka mmoja nikamkataa kutokana na tabia yake mbaya.

Nilipelekwa chumbani na kusikia sauti ya mtu yule ikisema; "mnatongozwa mnaringa", kisha akaanza kunipapasa matiti yangu, nilipopiga kelele nikawekewa kisu shingoni, hivyo ikabidi nitulie.

Nilifungwa mikono na kuvuliwa nguo zote, kisha walianza kunibaka kwa zamu hadi wote sita wakamaliza haja zao, maumivu yalikuwa makali sana hadi ikafikia hatua nikapoteza hisia.

Ilipofika saa 10 alfajiri niliwekwa kwenye gari na kurudishwa karibu na eneo walilonitoa na kunitupa hapo nikiwa nimefungwa mikono na machoni kitambaa.

Asubuhi wapita njia waliweza kunipa msaada ikiwa ni pamoja kumpigia mama yangu simu, mama alikuja na kunipeleka Polisi kisha niliandikwa barua ya kwenda hospitali, kisha Polisi walikuja tena Hospitalini na kuniuliza maswali tena, niliweza kumtaja yule ambaye nilimfahamu.

Ndani ya miezi mitano kila wiki nilikuwa nafika Polisi kuuliza kama wahusika wamepatikana ila majibu yalikuwa bado wanafanya uchunguzi.

Ikabidi nitafute msaada sehemu nyingine hapo ndipo niliwasiliana na African Doctors na kumuomba wahusika wote wapate adhabu amabyo itawafanya waje kwangu na kuniomba msamaha.

Basi African Doctors akaniambia ndani ya wiki moja wahusika wote watajulikana, baada ya siku kama tano, nilipigiwa simu na Polisi kuwa nahitajika haraka wahusika wamejipeleka wenyewe Polisi. Cha kushangaza wote niliowakuta nilikuwa nawafahamu na sasa wote wapo gerezani.

Wasiliana na African Doctors kwa namba; +254 769 404965, tembelea tovuti yao; www.african-doctors.com au watumie email; africandoctorheals@gmail.com.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news