Maadhimisho Mwaka Mpya wa Kiislam 1445 Hijiria

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Viongozi na Wananchi mbalimbali kwenye Kongamano la Wanawake wa Kiislam katika Maadhimisho ya Mwaka mpya wa Kiislam 1445 Hijiria yaliyofanyika katika ukumbi wa Golden Tulip Zanzibar tarehe 16 Julai, 2023.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akikabidhi Hati za Shukrani kwa baadhi ya Viongozi na Washiriki waliofanikisha kukamilika kwa Shughuli ya Kongamano la Wanawake wa Kiislam na Maadhimisho ya Mwaka mpya wa Kiislam 1445 Hijiria yaliyofanyika katika ukumbi wa Golden Tulip Zanzibar tarehe 16 Julai, 2023.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akikabidhiwa zawadi maalum iliyotolewa na Wanawake wa Kiislam kwenye Maadhimisho ya Mwaka mpya wa Kiislam 1445 Hijiria, yaliyofanyika katika ukumbi wa Golden Tulip Zanzibar tarehe 16 Julai, 2023.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akikabidhi Hati za Shukrani kwa baadhi ya Viongozi na Washiriki waliofanikisha kukamilika kwa Shughuli ya Kongamano la Wanawake wa Kiislam na Maadhimisho ya Mwaka mpya wa Kiislam 1445 Hijiria yaliyofanyika katika ukumbi wa Golden Tulip Zanzibar tarehe 16 Julai, 2023.
Baadhi ya Viongozi na Wanawake wa Kiislam wakisikiliza kwa makini Hotuba ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan kwenye Kongamano na Maadhimisho ya Mwaka mpya wa Kiislam 1445 Hijiria yaliyofanyika katika ukumbi wa Golden Tulip Zanzibar tarehe 16 Julai, 2023.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa katika picha ya pamoja na Viongozi na Wanawake wa Kiislam mara baada ya kuzungumza nao kwenye Kongamano na Maadhimisho ya Mwaka mpya wa Kiislam 1445 Hijiria yaliyofanyika katika ukumbi wa Golden Tulip Zanzibar tarehe 16 Julai, 2023.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news