Rais Dkt.Samia ahutubia Miaka 59 ya Uhuru wa Malawi

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Viongozi pamoja na Wananchi wa Malawi kwenye maadhimisho ya miaka 59 ya Uhuru wa Nchi hiyo kwenye Sherehe zilizofanyika katika uwanja wa Taifa wa Bingu, Lilongwe nchini humo tarehe 6 Julai, 2023.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa amesimama pamoja na Mwenyeji wake Rais wa Malawi Mhe. Dkt. Lazarus McCarthy Chakwera wakati Gwaride la Heshima likipita mbele ya Jukwaa Kuu katika maadhimisho ya miaka 59 ya Uhuru wa Malawi yaliyofanyika kwenye uwanja wa Taifa wa Bingu, Lilongwe nchini humo tarehe 6 Julai, 2023.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akicheza ngoma pamoja na kikundi kimoja cha ngoma za asili kutoka Malawi wakati wa maadhimisho ya miaka 59 ya Uhuru wa Malawi kwenye Sherehe zilizofanyika kwenye uwanja wa Taifa wa Bingu Mutharika, Lilongwe nchini humo tarehe 6 Julai, 2023.
Vikundi mbalimbali vya ngoma za asili kutoka Malawi vikitumbuiza kwenye maadhimisho ya miaka 59 ya Uhuru wa Malawi kwenye Sherehe zilizofanyika kwenye uwanja wa Taifa wa Bingu, Lilongwe nchini humo tarehe 6 Julai, 2023.
Shamra shamra za maadhimisho ya miaka 59 ya Uhuru wa Malawi kwenye Sherehe zilizofanyika kwenye uwanja wa Taifa wa Bingu, Lilongwe nchini humo tarehe 6 Julai, 2023.
Rais wa Malawi Mhe. Dkt. Lazarus McCarthy Chakwera akiwa pamoja na viongozi wengine wakicheza ngoma za asili wakati wa maadhimisho ya miaka 59 ya Uhuru wa Malawi kwenye Sherehe zilizofanyika kwenye uwanja wa Taifa wa Bingu, Lilongwe nchini humo tarehe 6 Julai, 2023.
Wageni mbalimbali waliohudhuria maadhimisho ya miaka 59 ya Uhuru wa Malawi kwenye Sherehe zilizofanyika kwenye uwanja wa Taifa wa Bingu Lilongwe nchini humo tarehe 6 Julai, 2023.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news