Wajumbe wa Haki Jinai na wahariri Ikulu

Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais Ikulu, Zuhura Yunus akizungumza katika Mkutano wa Wajumbe wa Tume ya Kuangalia Jinsi ya Kuimarisha Taasisi za Haki Jinai pamoja na Wahariri, Ikulu Jijini Dar es Salam tarehe 20 Julai, 2023.
Makamu Mwenyekiti wa Tume ya Kuangalia Jinsi ya Kuimarisha Taasisi za Haki Jinai Katibu Mkuu Kiongozi Mstaafu Mhe. Balozi Ombeni Yohana Sefue akizungumza kwenye Mkutano wa Tume hiyo pamoja na Wahariri kutoka Vyombo mbalimbali vya Habari, Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 20 Julai, 2023.
Mkuu wa Jeshi la Polisi Mstaafu ambaye pia ni Mjumbe wa Tume ya Kuangalia Jinsi ya Kuimarisha Taasisi za Haki Jinai Balozi Mhe. Ernest Mangu akitolea ufafanuzi masuala mbalimbali yaliyoibuka kwenye mkutano kati ya Tume hiyo na Wahariri kutoka Vyombo mbalimbali vya Habari, Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 20 Julai, 2023.
Mwanasheria Mkuu wa Serikali ambaye pia ni Mjumbe wa Tume ya Kuangalia Jinsi ya Kuimarisha Taasisi za Haki Jinai Mhe. Jaji Dkt. Eliezer Mbuki Feleshi akitolea ufafanuzi masuala mbalimbali ya kisheria katika Mkutano kati ya Tume hiyo na Wahariri kutoka Vyombo mbalimbali vya Habari, Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 20 Julai, 2023.
Mjumbe wa Tume ya Kuangalia Jinsi ya Kuimarisha Taasisi za Haki Jinai Dkt. Laurean Ndumbaro akizungumza katika Mkutano wa Tume hiyo pamoja na Wahariri kutoka Vyombo mbalimbali vya Habari, Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 20 Julai, 2023.
Mjumbe wa Tume ya Kuangalia Jinsi ya Kuimarisha Taasisi za Haki Jinai Ndugu Omar Issa akitolea ufafanuzi masuala mbalimbali katika Mkutano wa Tume hiyo pamoja na Wahariri kutoka Vyombo mbalimbali vya Habari, Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 20 Julai, 2023.
Mjumbe wa Tume ya Kuangalia Jinsi ya Kuimarisha Taasisi za Haki Jinai Yahya Khamis Hamad akizungumza katika mkutano wa Tume na Wahariri kutoka vyombo mbalimbali vya Habari nchini, Ikulu Jijini Dar es Salaam 20 Julai, 2023.
Wahariri kutoka vyombo mbalimbali vya Habari nchini wakizungumza kwenye Mkutano kati yao na Tume ya Kuangalia Jinsi ya Kuimarisha Taasisi za Haki Jinai, Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 20 Julai, 2023.
Wajumbe wa Tume ya Kuangalia Jinsi ya Kuimarisha Taasisi za Haki Jinai wakiwa kwenye Mkutano wa Wahariri kutoka vyombo mbalimbali vya Habari nchini, Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 20 Julai, 2023.
Wahariri kutoka vyombo mbalimbali vya Habari nchini wakiwa kwenye Mkutano kati yao na Tume ya Kuangalia Jinsi ya Kuimarisha Taasisi za Haki Jinai, Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 20 Julai, 2023.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news