Simba SC kuanza na Mtibwa Sugar NBCPL 2023/24

DAR ES SALAAM-Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) imetangaza ratiba kamili ya Ligi Kuu ya NBC msimu wa 2023/24 ambayo itaanza kutimua vumbi Agosti 15,mwaka hu.

Katika ratiba hiyo, Simba SC wataanzia ugenini Agosti 17,2023 kuikabili Mtibwa Sugar katika mchezo utakaopigwa Uwanja wa Manungu mkoani Morogoro.

Mchezo wa watani wa jadi umepangwa kufanyika Novemba 5 katika Uwanja wa Benjamin Mkapa saa 11 jioni ambapo Simba SC watakuwa wenyeji.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news