Viwango elekezi vya kubadilisha fedha za kigeni leo Septemba 15, 2023

NA GODFREY NNKO

LEO Dirham ya Umoja wa Falme za Kiarabu (AED) inanunuliwa kwa shilingi 667.70 na kuuzwa kwa shilingi 674.32 huku Schilling ya Australia (ATS) ikinunuliwa kwa shilingi 157.37 na kuuzwa kwa shilingi 158.76.
Hayo ni kwa mujibu wa taarifa ya viwango elekezi vya kubadilisha fedha za kigeni iliyotolewa leo Septemba 15, 2023 na Benki Kuu ya Tanzania (BoT).

Paundi ya Uingereza (GBP) inanunuliwa kwa shilingi 3048.34 na kuuzwa kwa shilingi 3079.81 huku Franka ya Rwanda (RWF) ikinunuliwa kwa shilingi 2.00 na kuuzwa kwa shilingi 2.08.

Dola ya Zimbabwe (ZWD) inanunuliwa kwa shilingi 0.46 na kuuzwa kwa shilingi 0.47 huku Euro ya Ulaya (EUR) inanunuliwa kwa shilingi 2617.21 na kuuzwa kwa shilingi 2643.63.

Yen ya Japan (JPY) inanunuliwa kwa shilingi 16.62 na kuuzwa kwa shilingi 16.79 huku Yuan ya China (CNY) ikinunuliwa kwa shilingi 337.01 na kuuzwa kwa shilingi 340.28.

Shilingi ya Kenya (KES) inanunuliwa kwa shilingi 16.70 na kuuzwa kwa shilingi 16.85 huku Kwacha ya Malawi (MWK) ikinunuliwa kwa shilingi 2.08 na kuuzwa kwa shilingi 2.26.

Dola ya Canada (CAD) inanunuliwa kwa shilingi 1811.63 na kuuzwa kwa shilingi 1829.21 huku Franka ya Uswisi (CHF) ikinunuliwa kwa shilingi 2740.12 na kuuzwa kwa shilingi 2767.21.

Dola ya Marekani (USD) inanunuliwa kwa shilingi 2452.41 na kuuzwa kwa shilingi 2476.93 huku Dinar ya Kuwait (KWD) ikinunuliwa kwa shilingi 7940.70 na kuuzwa kwa shilingi 8017.51.

Shilingi ya Uganda (UGX) inanunuliwa kwa shilingi 0.63 na kuuzwa kwa shilingi 0.66 huku Franka ya Burundi (BIF) ikinunuliwa kwa shilingi 0.86 na kuuzwa kwa shilingi 0.87.

Dola ya Australia (AUD) inanunuliwa kwa shilingi 1575.67 na kuuzwa kwa shilingi 1591.92 huku SDR ya Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF) ikinunuliwa kwa shilingi 3240.85 na kuuzwa kwa shilingi 3257.06.

Krona ya Sweden (SEK) inanunuliwa kwa shilingi 219.35 na kuuzwa kwa shilingi 221.46 huku Randi ya Afrika Kusini (ZAR) ikinunuliwa kwa shilingi 129.11 na kuuzwa kwa shilingi 130.37.

Foreign Exchange Rates in United Republic of Tanzania today September 15th, 2023 according to Central Bank (BoT);
S/NO Currency Buying Selling Mean Transaction Date
1 AED 667.7029 674.3249 671.0139 15-Sep-23
2 ATS 157.371 158.7654 158.0682 15-Sep-23
3 AUD 1575.6708 1591.9229 1583.7969 15-Sep-23
4 BEF 53.6808 54.156 53.9184 15-Sep-23
5 BIF 0.8641 0.8675 0.8658 15-Sep-23
6 CAD 1811.6318 1829.2076 1820.4197 15-Sep-23
7 CHF 2740.1184 2767.2104 2753.6644 15-Sep-23
8 CNY 337.0078 340.2844 338.6461 15-Sep-23
9 DEM 982.6525 1116.9921 1049.8223 15-Sep-23
10 DKK 350.865 354.333 352.599 15-Sep-23
11 ESP 13.0149 13.1298 13.0724 15-Sep-23
12 EUR 2617.2076 2643.6274 2630.4175 15-Sep-23
13 FIM 364.2042 367.4316 365.8179 15-Sep-23
14 FRF 330.1258 333.046 331.5859 15-Sep-23
15 GBP 3048.3406 3079.8148 3064.0777 15-Sep-23
16 HKD 313.2704 316.391 314.8307 15-Sep-23
17 INR 29.531 29.8066 29.6688 15-Sep-23
18 ITL 1.1184 1.1283 1.1233 15-Sep-23
19 JPY 16.6254 16.7905 16.7079 15-Sep-23
20 KES 16.7058 16.8499 16.7778 15-Sep-23
21 KRW 1.8473 1.8641 1.8557 15-Sep-23
22 KWD 7940.7005 8017.5115 7979.106 15-Sep-23
23 MWK 2.0797 2.2623 2.171 15-Sep-23
24 MYR 524.1303 528.6937 526.412 15-Sep-23
25 MZM 38.1697 38.4915 38.3306 15-Sep-23
26 NLG 982.6525 991.3668 987.0097 15-Sep-23
27 NOK 227.9823 230.1787 229.0805 15-Sep-23
28 NZD 1447.9005 1463.3703 1455.6354 15-Sep-23
29 PKR 7.8286 8.3146 8.0716 15-Sep-23
30 RWF 2.0053 2.0839 2.0446 15-Sep-23
31 SAR 653.8354 660.3386 657.087 15-Sep-23
32 SDR 3240.8544 3273.263 3257.0587 15-Sep-23
33 SEK 219.3506 221.461 220.4058 15-Sep-23
34 SGD 1799.1387 1816.4637 1807.8012 15-Sep-23
35 UGX 0.632 0.6632 0.6476 15-Sep-23
36 USD 2452.406 2476.93 2464.668 15-Sep-23
37 GOLD 4664451.575 4711863.939 4688157.757 15-Sep-23
38 ZAR 129.1106 130.3716 129.7411 15-Sep-23
39 ZMW 117.1839 121.7165 119.4502 15-Sep-23
40 ZWD 0.459 0.4682 0.4636 15-Sep-23

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news