Viwango elekezi vya kubadilisha fedha za kigeni leo Septemba 19, 2023

NA GODFREY NNKO

LEO Dola ya Australia (AUD) inanunuliwa kwa shilingi 1580.35 na kuuzwa kwa shilingi 1596.65 huku SDR ya Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF) ikinunuliwa kwa shilingi 3242.08 na kuuzwa kwa shilingi 3274.50.

Hayo ni kwa mujibu wa taarifa ya viwango elekezi vya kubadilisha fedha za kigeni iliyotolewa leo Septemba 19, 2023 na Benki Kuu ya Tanzania (BoT).

Krona ya Sweden (SEK) inanunuliwa kwa shilingi 218.84 na kuuzwa kwa shilingi 220.97 huku Randi ya Afrika Kusini (ZAR) ikinunuliwa kwa shilingi 129.07 na kuuzwa kwa shilingi 130.32.

Dirham ya Umoja wa Falme za Kiarabu (AED) inanunuliwa kwa shilingi 669.43 na kuuzwa kwa shilingi 675.94 huku Schilling ya Australia (ATS) ikinunuliwa kwa shilingi 157.78 na kuuzwa kwa shilingi 159.16.

Paundi ya Uingereza (GBP) inanunuliwa kwa shilingi 3043.68 na kuuzwa kwa shilingi 3075.36 huku Franka ya Rwanda (RWF) ikinunuliwa kwa shilingi 2.04 na kuuzwa kwa shilingi 2.09.

Dola ya Zimbabwe (ZWD) inanunuliwa kwa shilingi 0.46 na kuuzwa kwa shilingi 0.47 huku Euro ya Ulaya (EUR) inanunuliwa kwa shilingi 2620.07 na kuuzwa kwa shilingi 2647.26.

Yen ya Japan (JPY) inanunuliwa kwa shilingi 16.64 na kuuzwa kwa shilingi 16.81 huku Yuan ya China (CNY) ikinunuliwa kwa shilingi 336.98 na kuuzwa kwa shilingi 340.26.

Shilingi ya Kenya (KES) inanunuliwa kwa shilingi 16.73 na kuuzwa kwa shilingi 16.87 huku Kwacha ya Malawi (MWK) ikinunuliwa kwa shilingi 2.05 na kuuzwa kwa shilingi 2.23.

Dola ya Canada (CAD) inanunuliwa kwa shilingi 1820.87 na kuuzwa kwa shilingi 1838.40 huku Franka ya Uswisi (CHF) ikinunuliwa kwa shilingi 2739.02 na kuuzwa kwa shilingi 2765.18.

Dola ya Marekani (USD) inanunuliwa kwa shilingi 2458.54 na kuuzwa kwa shilingi 2483.13 huku Dinar ya Kuwait (KWD) ikinunuliwa kwa shilingi 7959.28 na kuuzwa kwa shilingi 8036.28.

Shilingi ya Uganda (UGX) inanunuliwa kwa shilingi 0.63 na kuuzwa kwa shilingi 0.66 huku Franka ya Burundi (BIF) ikinunuliwa kwa shilingi 0.86 na kuuzwa kwa shilingi 0.87.

Foreign Exchange Rates in United Republic of Tanzania today September 19th, 2023 according to Central Bank (BoT);
S/NO Currency Buying Selling Mean Transaction Date
1 AED 669.4289 675.9391 672.684 19-Sep-23
2 ATS 157.7649 159.1627 158.4638 19-Sep-23
3 AUD 1580.3524 1596.6526 1588.5025 19-Sep-23
4 BEF 53.8151 54.2915 54.0533 19-Sep-23
5 BIF 0.8641 0.8715 0.8678 19-Sep-23
6 CAD 1820.8743 1838.4023 1829.6383 19-Sep-23
7 CHF 2739.0202 2765.1782 2752.0992 19-Sep-23
8 CNY 336.9808 340.2574 338.6191 19-Sep-23
9 DEM 985.1122 1119.7881 1052.4501 19-Sep-23
10 DKK 351.5019 354.9915 353.2467 19-Sep-23
11 ESP 13.0475 13.1626 13.1051 19-Sep-23
12 EUR 2620.0709 2647.2649 2633.6679 19-Sep-23
13 FIM 365.1159 368.3513 366.7336 19-Sep-23
14 FRF 330.9522 333.8796 332.4159 19-Sep-23
15 GBP 3043.6781 3075.3565 3059.5173 19-Sep-23
16 HKD 314.3879 317.5277 315.9578 19-Sep-23
17 INR 29.5098 29.7998 29.6548 19-Sep-23
18 ITL 1.1212 1.1311 1.1261 19-Sep-23
19 JPY 16.641 16.8063 16.7237 19-Sep-23
20 KES 16.7305 16.8748 16.8027 19-Sep-23
21 KRW 1.8538 1.8718 1.8628 19-Sep-23
22 KWD 7959.2883 8036.2795 7997.7839 19-Sep-23
23 MWK 2.0473 2.2275 2.1374 19-Sep-23
24 MYR 524.5454 529.3392 526.9423 19-Sep-23
25 MZM 38.0874 38.4088 38.2481 19-Sep-23
26 NLG 985.1122 993.8483 989.4803 19-Sep-23
27 NOK 226.8951 229.1007 227.9979 19-Sep-23
28 NZD 1450.0496 1465.5434 1457.7965 19-Sep-23
29 PKR 8.0469 8.4389 8.2429 19-Sep-23
30 RWF 2.0377 2.0893 2.0635 19-Sep-23
31 SAR 655.4546 661.9738 658.7142 19-Sep-23
32 SDR 3242.0827 3274.5035 3258.2931 19-Sep-23
33 SEK 218.8427 220.9721 219.9074 19-Sep-23
34 SGD 1801.5275 1818.8763 1810.2019 19-Sep-23
35 UGX 0.6306 0.6616 0.6461 19-Sep-23
36 USD 2458.5446 2483.13 2470.8373 19-Sep-23
37 GOLD 4728301.1603 4778174.3249 4753237.7426 19-Sep-23
38 ZAR 129.0669 130.3179 129.6924 19-Sep-23
39 ZMW 116.0481 120.5403 118.2942 19-Sep-23
40 ZWD 0.4601 0.4693 0.4647 19-Sep-23

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news