PSLE-2023 EXAMINATION RESULTS:Haya hapa Matokeo ya darasa la saba 2023, ufaulu juu

DAR ES SALAAM-Baraza la Taifa la Mitihani (NECTA), Novemba 23,2023 limetangaza rasmi matokeo ya mtihani wa darasa la saba huku ufaulu wa jumla ukiwa umeongezeka kwa asilimia 0.96.
Hayo ni kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa leo jijini Dar es salaam na Katibu Mtendaji wa NECTA, Dkt. Said Mohamed, wakati akizungumza na waandishi wa habari kuhusu matokeo ya mtihani wa kumaliza Elimu ya Msingi (PSLE). Bonyeza mkoa wako hapa chini;

ARUSHA

DAR ES SALAAM

DODOMA

IRINGA

KAGERA

KIGOMA

KILIMANJARO

LINDI

MARA

MBEYA

MOROGORO

MTWARA

MWANZA

PWANI

RUKWA

RUVUMA

SHINYANGA

SINGIDA

TABORA

TANGA

MANYARA

GEITA

KATAVI

NJOMBE

SIMIYU

SONGWE


Ni mtihani uliofanyika Septemba 2023, ambapo amesema kuwa, jumla ya watahiniwa 1,092,960 sawa na asilimia 80.58 ya watahiniwa 1,356,296 wamefaulu ambapo wamepata Daraja A, B na C huku wavulana wakiwa ni asilimia 80.59 na wasichana asilimia 80.59. Zaidi soma NECTA yatangaza matokeo ya darasa la saba 2023

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news