MAAFA KATESH:Wakala wa Nishati Vijijini (REA) yatoa pole


Kuhusu REA

Wakala wa Nishati Vijijini (REA) ni taasisi ya Serikali inayojitegemea ambayo ipo chini ya Wizara ya Nishati ikiwa na jumuku kubwa la kuhamasisha, kuratibu na kuwezesha uanzishwaji na uendelezaji wa miradi ya nishati vijiji.

REA ilianzishwa kwa Sheria ya Nishati Vijijini Na.8 ya mwaka 2005 na kuanza kazi rasmi mwezi Oktoba 2007, ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa iliyokuwa Sera ya Nishati ya mwaka 2003.

Aidha, Sheria ya Nishati Vijijini pamoja na kuanzisha wakala, pia imeanzisha Bodi ya Mfuko wa Nishati Vijijini.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news