Safari ya Tanzania kwenye Setelaiti yaiva,TSA yapongeza

NA DIRAMAKINI

WAZIRI wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Nape Moses Nnauye (MB) amethibitisha kuwa, Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imepata nafasi katika Orbit kwa ajili ya Setelaiti.
Mheshimiwa Waziri Nape ameyabainisha hayo kupitia ukurasa wake wa X huku akifafanua kuwa, hayo ni matokeo ya Mkutano wa WRC23.

"Tumefanikiwa kupata nafasi katika Orbit kwa ajili ya matumizi ya setelaiti. Orbit mpya ya setelaiti kwa Tanzania ni nyuzi (16 W).

"Mafaniko haya ni moja ya matokeo ya mkutano wa Umoja wa Mawasiliano Duniani-2023(WRC23)! Ahsante Rais Samia kwa Uongozi uliotukuka!."

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news