Exchange Rates:Viwango elekezi vya kubadilisha fedha za kigeni leo Februari 19,2024

NA GODFREY NNKO

LEO Paundi ya Uingereza (GBP) inanunuliwa kwa shilingi 3164.44 na kuuzwa kwa shilingi 3197.09 huku Franka ya Rwanda (RWF) ikinunuliwa kwa shilingi 1.96 na kuuzwa kwa shilingi 2.01.
Hayo ni kwa mujibu wa taarifa ya viwango elekezi vya kubadilisha fedha za kigeni iliyotolewa leo Februari 19, 2024 na Benki Kuu ya Tanzania (BoT).

Dola ya Marekani (USD) inanunuliwa kwa shilingi 2514.85 na kuuzwa kwa shilingi 2540 huku Dinar ya Kuwait (KWD) ikinunuliwa kwa shilingi 8165.69 na kuuzwa kwa shilingi 8243.01.

Dola ya Canada (CAD) inanunuliwa kwa shilingi 1865.75 na kuuzwa kwa shilingi 1885.93 huku Fraka Uswisi (CHF) ikinunuliwa kwa shilingi 2854.22 na kuuzwa kwa shilingi 2881.45.

Dola ya Australia (AUD) inanunuliwa kwa shilingi 1636.93 na kuuzwa kwa shilingi 1656.84 huku SDR ya Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF) ikinunuliwa kwa shilingi 3326.64 na kuuzwa kwa shilingi 3356.96.

Krona ya Sweden (SEK) inanunuliwa kwa shilingi 240.40 na kuuzwa kwa shilingi 242.76 huku Randi ya Afrika Kusini (ZAR) ikinunuliwa kwa shilingi 133.17 na kuuzwa kwa shilingi 134.49.

Dirham ya Umoja wa Falme za Kiarabu (AED) inanunuliwa kwa shilingi 684.81 na kuuzwa kwa shilingi 691.46 huku Schilling ya Australia (ATS) ikinunuliwa kwa shilingi 161.38 na kuuzwa kwa shilingi 162.81.

Dola ya Zimbabwe (ZWD) inanunuliwa kwa shilingi 0.47 na kuuzwa kwa shilingi 0.48 huku Euro ya Ulaya (EUR) inanunuliwa kwa shilingi 2708.24 na kuuzwa kwa shilingi 2736.34.

Shilingi ya Kenya (KES) inanunuliwa kwa shilingi 17.34 na kuuzwa kwa shilingi 17.39 huku Kwacha ya Malawi (MWK) ikinunuliwa kwa shilingi 1.39 na kuuzwa kwa shilingi 1.49.

Shilingi ya Uganda (UGX) inanunuliwa kwa shilingi 0.62 na kuuzwa kwa shilingi 0.65 huku Franka ya Burundi (BIF) ikinunuliwa kwa shilingi 0.87 na kuuzwa kwa shilingi 0.88.

Foreign Exchange Rates in United Republic of Tanzania today February 19th, 2024 according to Central Bank;
S/NOCurrencyBuyingSellingMeanTransaction Date
1AED684.8165691.4575688.13719-Feb-24
2ATS161.3781162.808162.09319-Feb-24
3AUD1639.93471656.8421648.388319-Feb-24
4BEF55.047655.534955.291319-Feb-24
5BIF0.87670.88430.880519-Feb-24
6BWP183.3327185.928184.630319-Feb-24
7CAD1865.75521883.85371874.804519-Feb-24
8CHF2854.2182881.45212867.83519-Feb-24
9CNY349.6297353.0573351.343519-Feb-24
10CUC104.7855105.8333105.309419-Feb-24
11DEM1007.67381145.4341076.553919-Feb-24
12DKK363.3916366.9725365.18219-Feb-24
13DZD18.727818.832318.780119-Feb-24
14ESP13.346313.464113.405219-Feb-24
15EUR2708.24362736.3422722.292819-Feb-24
16FIM373.478376.7875375.132819-Feb-24
17FRF338.5318341.5264340.029119-Feb-24
18GBP3164.43763197.0983180.767819-Feb-24
19HKD321.4854324.6878323.086619-Feb-24
20INR30.299130.596530.447819-Feb-24
21IQD1.92121.93751.929319-Feb-24
22IRR0.05990.06050.060219-Feb-24
23ITL1.14691.1571.151919-Feb-24
24JPY16.734416.898416.816419-Feb-24
25KES17.343817.397317.370519-Feb-24
26KRW1.8881.90551.896819-Feb-24
27KWD8166.69318243.00648204.849819-Feb-24
28MWK1.38811.49411.441119-Feb-24
29MYR526.3398531.0475528.693619-Feb-24
30MZM39.038439.367639.20319-Feb-24
31NAD133.1948134.484133.839419-Feb-24
32NGN1.64321.6591.651119-Feb-24
33NLG1007.67381016.611012.141919-Feb-24
34NOK238.569240.9136239.741319-Feb-24
35NZD1535.06531551.4321543.248719-Feb-24
36PKR8.56319.08778.825419-Feb-24
37QAR689.8509696.2719693.061419-Feb-24
38RWF1.95752.01391.985719-Feb-24
39SAR670.6271677.2069673.91719-Feb-24
40SDR3326.69473359.96173343.328219-Feb-24
41SEK240.4003242.7579241.579119-Feb-24
42SGD1868.38891886.37211877.380519-Feb-24
43TRY81.592782.376681.984719-Feb-24
44UGX0.62380.65510.639519-Feb-24
45USD2514.851525402527.425719-Feb-24
46GOLD5045798.019850980345071916.009919-Feb-24
47ZAR133.1758134.489133.832419-Feb-24
48ZMK98.5619102.4194100.490619-Feb-24
49ZWD0.47060.48010.475419-Feb-24

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news