Henock Inonga yupo kwenye mipango ya Simba SC

DAR ES SALAAM-Kocha wa Simba, Abdelhak Benchikha, ameuambia uongozi wa klabu hiyo kuwa beki wake wa kati, Henock Inonga yupo kwenye mipango yake msimu huu katika mashindao ya Kimataifa na Ligi Kuu.
Inonga ambaye kwa sasa yupo na kikosi cha timu yake ya Taifa ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo kwenye fainali za AFCON zinazoendelea nchini Ivory Coast, anatajwa kutakiwa na vilabu vya soka vya FAR Rabat na Berkane za Morocco.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news