Mama mkwe kanifuata chumbani nikiwa mtupu!

NAKURU-Habari, jina langu ni Naomi natokea Mkoa wa Tanga nchini Tanzania, ni mama wa nyumbani ambaye anajishughulisha na kilimo na ufugaji, ndio kazi ambayo inalisha familia yangu kwa miaka yote.

Niliolewa Novemba 2019 na mpenzi wangu ambaye tulipenda kwa miaka mingi nyuma, siku za mwanzoni maisha katika ndoa yetu yalikuwa ni mazuri sana kwani yalitawaliwa na amani na furaha.

Mambo yalianza kuharibika baada ya mama mke kuja kuishi na sisi tulipopanga,maana tumepanga chumba na sebule na kuna chumba single nje ni self container ambacho mama mke alikuwa analala.

Sasa mama mkwe alikuwa ni mtu wa kunitafuta niongee, yaani nimjibu vibaya na pale nyumbani kutokee ugomvi, unaweza kumpa chai asubuhi akakataa kuinywa na jioni mtoto wake akitoka kazini anasema hajapewa chai asubuhi.

Alikuwa ni mtu wa visa sana, aliwahi kunifuata chumbani nikiwa nimelala nikiwa mtupu akaniamsha na kunituma vitu vya kipuuzi tu.

Nilishangaa sana mtu anaingiaje chumbani kwangu bila hata hodi, hajui ile ni faragha yangu na alipaswa kuiheshimu.

Nikifagia uwanja akiamka anarudia kufagia, nikipanda mboga kwenye bustani anang’oa, yeye kutwa kukagua kila ambalo nalifanya, hata kila ninachopika anauliza.

Alinifanyia visa vingi na mimi nilikuw namtazama tu maana nilimuheshimu kama mama, nilishindwa nifanyaje maana mume wangu hana shida ila mama yake ni mwiba kwangu na ni mambo mengi alinifanyia siwezi andika yote.

Nilimsimulia rafiki yangu visa vya mama mke hasa kile cha kuingia chumbani kwangu, akaniambia anaweza kuwa na mambo ya kishirikina, sio jambo la kuchukulia kiwepesi.

Alinishauri niwasiliane na Kiwanga Doctors kwani wanaweza kunisaidia, alinipa namba zao ambazo ni +254 769 404965, niliongea naye na kunifanyia dawa na kunipa maelekezo ya kufuata.

Baada ya siku tatu tangu kupata dawa ya Kiwanga Doctors, mama mke aliamua kubeba vitu vyake na kuondoka na kusema kama kuna sehemu alinikwaza nimsamehe.

Tangu alivyoondoka huwa haji kabisa nyumbani, akija hukaa siku moja kisha kurudi kwake, asante sana Kiwanga Doctors.

Siku zote kumbuka Kiwanga Doctors anatoa huduma kama kusafisha nyota, kusuluhisha migororo ya ndoa, mahusiano, mapenzi na familia, kumfunga mume au mke asitoke nje ya ndoa, anatoa tiba kwa wanaotafuta watoto.

Vilevile anatoa huduma ya kukusaidia kupata kazi au ajira, kupandishwa cheo na mshahara kazini, kuwasaidia wenye urahibu wa dawa za kulevya, sigara na pombe, kwa wanaotafuta mume au mke pia anawasaidia tena ndani ya siku chache.

Anatibu magonjwa kama kisukari, msukumo wa damu (BP), upungufu wa nguvu za kiume, miguu kuwaka moto n.k, pia anaweza kuisadia biashara yako kunawiri, na huduma zote hizi unaweza kuzipata bila kufika ofisini kwake.

Basi chukua hatua ya kuwasiliana na Kiwanga Doctors kwa namba; +254 769 404965.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news