Waziri Mhagama apokea jendwali la Uchambuzi wa Sheria Ndogo

DODOMA-Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Mhe. Jenista Mhagama amesema serikali itaendelea kudumisha utawala bora kwa kutumia sheria kama Msingi Mkuu wa Utendaji kazi wa serikali na haki za wananchi kwa ujuamla wake.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Mhe. Jenista Mhagama akipokea Jendwali la uchambuzi wa sheria ndogo kutoka kwa Kaimu Mwenyekiti wa Kamati hiyo, Mhe. Abdalla Dadi Chikota.
Baadhi ya Wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Sheria Ndogo wakiwa katika kikao Ukumbi wa Mikutano wa Bunge jijini Dodoma
Waziri amesema hayo wakati akipokea Jendwali la uchambuzi wa sheria ndogo zilizowasilishwa katika Mkutano wa Kumi na Nne tarehe 2 Februari, 2024 tukio hilo limefanyika leo tarehe 22 Februari,2024 katika Ukumbi wa Mikutano wa Bunge.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news