Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Aprili 18,2024

MTANZANIA Bernice Fernandes, ameteuliwa kuwa mjumbe wa bodi ya Jumuiya ya Tamasha la Kimataifa la Ujasiriamali (GEF), ambayo pamoja na mambo mengine itaandaa tamasha la mwaka huu ambalo mmoja wa wazungumzaji anatarajiwa kuwa Rais Mstaafu wa Marekani, Barack Obama.
Bernice ni Mkurugenzi Mtendaji na Mwanzilishi wa kampuni ya Accelerate Business Group inayojishughulisha kutoa ushauri, usimamizi na uongozi wa biashara.


Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news