Rais Dkt.Mwinyi kuzindua Maadhimisho ya Miaka 60 ya Muungano kesho

ZANZIBAR-Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt.Hussein Ali Mwinyi anatarajiwa kuzindua rasmi Maadhimisho ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar kesho Aprili 14,2024 katika viwanja vya Maonesho ya Biashara, Nyamanzi Mkoa wa Mjini Magharibi.

Sherehe hizo zitahudhuriwa na viongozi mbalimbali wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Vyama vya Siasa, Vyombo vya Ulinzi na Usalama na Mabalozi kutoka nchi mbalimbali wanaoziwakilisha nchi zao Tanzania.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news