SINGIDA-Serikali inaendelea kusikiliza na kutatua changamoto mbalimbali katika maeneo muhimu yanayoigusa jamii ikiwemo Afya, Elimu na Miundombinu.


"Niwahakikishie Rais anayo nia ya dhati ya kuleta mabadiliko katika nchi yetu na tumeshuhudia pia upande wa Maji, Kilimo, Uvuvi na hata Sekta ya uwekezaji ikiwemo kukuza sekta binafsi ili kuongeza upatikanaji wa ajira, haya anayafanya kwa nia iliyo njema kwa sababu ya upendo wake kwa wananchi."
Dkt.Mwigulu Nchemba anaendelea na ziara yake ya kusikiliza na kutatua changamoto za wananchi hapo kwa hapo jimboni humo.