Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Mei 26,2024

MOROGORO-Jeshi la Polisi mkoani Morogoro linamshikilia dereva wa basi la Kampuni ya Shabiby lenye namba za usajili T 341 EEU, Said Malugula akituhumiwa kusababisha ajali iliyojeruhi abiria 22, baada ya basi hilo kupinduka eneo la Kihonda kwa Chambo mkoani Morogoro.



Kamanda wa Polisi Mkoa Morogoro, Alex Mkama amesema jana Mei 25, 2024 kuwa ajali hiyo ilitokea saa 12: 20 asubuhi, wakati basi hilo likielekea mkoani Dodoma.



Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news