Waziri Dkt.Nchemba ateta na ujumbe kutoka CRCC

DODOMA-Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba ((Mb), amekutana na kufanya mazungumzo na Ujumbe kutoka Kampuni ya Ujezi wa Reli ya CRCC ya China, ikiongozwa na Makamu wa Rais wa Kampuni hiyo Bw. Zhao DianLong, iliyotia nia ya kuwekeza kwenye Ujenzi na uboreshaji wa miundombinu ya Reli ya Tanzania na Zambia (TAZARA), katika Ukumbi wa Mikutano wa Waziri wa Fedha, Treasury Square jijini Dodoma, ambapo Mhe. Dkt. Nchemba, aliiahidi Kampuni hiyo utayari wa Serikali wa kushirikiana nayo kuboresha miundombinu ya mradi huo wa kihistoria ili kukuza biashara na uchumi kati ya Tanzania na Zambia katika sekta ya usafirishaji.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news