Rais Dkt.Mwinyi ashuhudia kusainiwa kwa hati mbalimbali kustawisha sekta za Uchumi wa Buluu na Uwekezaji

LONDON-Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt.Hussein Ali Mwinyi ameshuhudia kusainiwa kwa hati mbalimbali za makubaliano baina ya wizara na taasisi mbalimbali za Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar ikiwemo Mamlaka ya Kukuza Uwekezaji Zanzibar (ZIPA) na Commonwealth Enterprise and Investment Council (CWEIC), Mamlaka ya Udhibiti wa Utafutaji wa Mafuta na Gesi Asilia Zanzibar (ZPRA) na Taasisi ya Geopatners Ltd ya Uingereza, Wizara ya Uchumi wa Buluu na Nutri-San Limited (UK), The Scottish Association for Marine Science (UK) pamoja na Chuo cha Kilimo cha Royal (UK) katika ukumbi wa Guildhall Art Gallery jijini London leo Aprili 9,2025.
Hati hizo za makubaliano zilizosainiwa zitaisaidia kuleta ufanisi zaidi sekta mbalimbali ikiwemo Uchumi wa Buluu na Uwekezaji.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news