BAADA ya ziara ya mafanikio makubwa nchini Uingereza, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi,Mheshimiwa Dkt.Hussein Ali Mwinyi leo Aprili 11,2025 majira ya saa 4:00 asubuhi atazungumza na wananchi kupitia vyombo mbalimbali vya habari nchini katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume, Zanzibar.