MARA-Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) imetoa elimu juu ya madhara ya dawa za kulevya kwa wananchi na wanafunzi katika Wilaya ya Tarime mkoani Mara, ikiwa ni sehemu ya jitihada za Mamlaka kuimarisha mapambano dhidi ya dawa za kulevya nchini.
Tags
DCEA
DCEA Tanzania
Habari
Kataa Dawa za Kulevya na Timiza Ndoto Zako
Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA)







